Search results

  1. Ryan Herman

    Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kujibu maswali ya wananchi watumiao mitandao

    Nenda katoe ushaidi wa ulaji wa ruzuku za chama. Na maandamano yapo pale pale uchaguzi usipokua wa haki
  2. Ryan Herman

    August 12: Siku ya vijana kimataifa, kuna mengi vijana kama nguvu ya taifa na mabadiliko hupitia

    Kila tarehe ya 12 August ni siku ya vijana kimataifa. Kuna mambo mengi ambayo vijana kama nguvu ya taifa na mabadiliko hupitia. 1. Ukosefu wa ajira. Je ni nini kifanyike kuwakwamua vijana kwenye janga hili? Jambo la kusema vijana wajiajiri je ni kweli kuna mazingira wezeshi ya vijana kujiajiri...
  3. Ryan Herman

    Mfahamu Edwin Mtei: Gavana wa kwanza Tanzania na muasisi wa CHADEMA

    EDWIN MTEI alizaliwa jumanne 12.7.1932 siku hiyo mama yake Akiwa mjamzito akiambatana na jirani yake waliamka asubuhi Sana na kwenda kwenye shamba la mahindi na maharage lililokua km 8 kutoka Marangu. Asubuhi hiyo Bi. Anginaeli alijifungua Mtoto EDWIN huku Mama huyo akirejea nyumbani kibabe...
  4. Ryan Herman

    Fahamu ugonjwa wa Homa ya Ini unavyoambukizwa na dalili zake

    Homa ya ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya Virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi Sugu! Virusi hivyo kitaalamu vinaitwa Hepatitis B Virus (HBV) Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini mfano Mate, au jasho! Watu...
  5. Ryan Herman

    Waliozembea ajali ya moto Morogoro kuchukuliwa hatua

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kamati aliyounda kuchunguza ajali ya lori la mafuta iliyotokea Agosti 10, mwaka huu mkoani Morogoro, imekamilisha majukumu yake. Akizungumza wakati akitoa hoja ya kuahirisha bunge, bungeni jijini Dodoma leo Ijumaa Septemba 13, amesema baada ya tukio hilo la...
  6. Ryan Herman

    Viongozi takriban 10 wa Afrika kuhudhuria maziko ya Mugabe

    Viongozi 10 wa kiafrika wanatarajiwa kuhudhuria shughuli ya maziko ya Rais wa kwanza Zimbabwe Robert Mugabe. Hayo yameelezwa na msemaji mkuu wa Serikali na Mwili wa marehemu ulirudishwa Zimbabwe Jumatano ukitokea Singapore alikofariki akiwa na umri wa miaka 95. Miongoni mwa viongozi wa Afrika...
  7. Ryan Herman

    Shinyanga: Watumishi 46 wafukuzwa kazi na Baraza la Madiwani Halmashauri ya Msalala

    Baraza la Madiwani la halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga limewafukuza kazi watumishi 46 waliojipatia kazi kwa njia ya udanganyifu kwa kughushi vyeti vya taaluma na kuisababishia serikali hasara. Uamuzi huo umetolewa jana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala, Mibako Mabubu kwenye kikao...
  8. Ryan Herman

    Naibu Waziri wa Afya ametoa wiki 2 za uchunguzi mtoto aliyekatwa kiganja

    Dkt Faustine ametoa wiki 2 kwa Msajili wa Baraza la Madaktari la Tanganyika na Baraza la Wauguzi Tanzania kuchunguza suala la mtoto wa miaka mitano kukatwa kiganja cha mkono kilichoharibika baada ya kuchomwa sindano kupitia mshipa Amesema watu wamekuwa wakitibiwa kienyeji katika vituo vya...
  9. Ryan Herman

    Afariki dunia baada ya kuzama baharini

    Haji Ali Haji mwenye umri wa miaka 55 Mkaazi wa Jambiani Mfumbwi amefariki dunia baada ya kuzama bahari wakati akiwa katika shughuli zake za uvuvi. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Suleiman Hassan Suleiman amesema tukio hilo limetokea majira ya saa...
  10. Ryan Herman

    Askari Polisi watano na Mwanajeshi mmoja wafikishwa Mahakamani

    Jamuhuri imewafikisha mahakamani askari polisi watano na mwanajeshi mmoja wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka matatu, likiwamo la wizi wa mafuta ya ndege yenye thamani zaidi ya Sh milioni nne na kutakatisha fedha hizo. Washtakiwa walifikishwa jana Mahakama ya Hakimu Mkazi...
  11. Ryan Herman

    Mzee ajinyonga kwa mtandio baada ya kunyang'anywa shamba na Serikali ya kijiji

    Mkulima na mkazi wa Kijiji cha Gallu wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, Masatu Kezirahabi (94), amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia mtandio siku sita tangu sehemu ya shamba lake itwaliwe na serikali ya kijiji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro amesema mwili wa mkulima huyo ulikutwa...
  12. Ryan Herman

    Wananchi waonywa kuhusu mabomu

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi amewataka wananchi hususani mkoani Kagera, kuendelea kuchukua tahadhari ya kuokota vitu vinavyong’ara au vyuma wasije wakaokota mabomu. Dk. Mwinyi amesema hayo akijibu swali la Mbunge wa Nungwi, Yussuf Haji Khamis, bungeni jijini...
  13. Ryan Herman

    Wanafunzi wa darasa la saba wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kesho

    Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Dk Charles Msonde Dar es Salaam. Wanafunzi 947,221 wa darasa la saba kutoka shule 17,051 za Tanzania bara, wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kesho Jumatano na keshokutwa...
  14. Ryan Herman

    Kila Mwenye Kamera Inabidi Kuwa Na Vitu Hivi 5

    Umepewa au umejipatia mwenyewe kamera yako (mpya) hongera!. Ukiwa na kamera yenye uwezo (mega pixels) mkubwa na ukiwa unapenda piga picha hapo kuna maisha flani hivi unayaishi na kupata uzoefu flani wa kuitwa mpiga picha (photographer). Lakini kabla hujatoka na kuenda kuanza kupiga picha hizo...
  15. Ryan Herman

    Bunge laridhia sehemu ya pori la akiba la Selous kuwa Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja limeridhia kubadilishwa kwa sehemu ya pori la akiba la Selous kuwa hifadhi ya taifa ya Nyerere, eneo ambalo linaukubwa wa kilomita za mraba 30,893. Pori la akiba la selous lilianzishwa kwa tangazo lilianzishwa kwa tangazo la serikali namba...
  16. Ryan Herman

    Mara: Mwalimu Mkuu mbaroni kwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la saba

    Polisi Mkoa wa Mara wanamshikilia Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Bwai A, Wilaya ya Musoma Lazaro Mmanga, kwa tuhuma za kumbaka Mwanafunzi wa darasa la saba mwenye umri wa miaka 14 wakati akijiandaa kufanya mtihani wa Taifa. Kamanda wa Polisi Mkoa Juma Ndaki amesema Mwalimu huyo...
  17. Ryan Herman

    Musoma: Katibu wa Msikiti akamatwa akijifanya ofisa wa TAKUKURU

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mara nchini Tanzania inamshikilia Katibu wa Msikiti wa Rahman uliopo Nyakato manispaa ya Musoma mkoani humo kwa tuhuma za kujifanya kamanda wa Takukuru mkoa wa Mara. Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Septemba 6, 2019 Mkuu...
  18. Ryan Herman

    JamiiForums yapata tuzo ya Uhamasishaji wa Uhuru wa Maoni/Taarifa nchini kutoka UTPC

    Hongera Sana JF, mapambano bado yaneendelea. Tuzo hiyo ikaweze kuamsha hamasa zaidi wa kupigania uhuru wa habari na wakujieleza
  19. Ryan Herman

    Wabunge Uingereza wapiga kura kuzuia Brexit isiyo na makubaliano

    Wabunge wa Uingereza wamepiga kura 328 dhidi ya 301, kuunga mkono juhudi za kuzuia mpango wa taifa hilo kujiondoa kutoka Umoja wa Ulaya bila ya makubaliano. Hatua hiyo sasa inapisha njia kwa wabunge kupitisha sheria baadae siku ya Jumatano, ambayo itamshinikiza Waziri mkuu Boris Johnson kuuomba...
  20. Ryan Herman

    UNEP: Uzalishaji umeme katika hifadhi ya Selous hauna madhara kwa mazingira

    Mara baada ya uzinduzi rasmi wa mradi wa uzalishaji umeme Katika eneo la hifadhi ya Selous, Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa umeidhinisha ukisema haina hatari kwa mazingira.
Back
Top Bottom