Kuna mwekezaji mmoja kutoka katika moja ya nchi gulf katika mazungumzo yetu nakumbaka aliniabia katka miradi yote ambayo Mhe. Magufuli aliyoanzisha, mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere ni mradi mkubwa na wenye manufaa kwa taifa kama utakamilika.
Kwenda nje na msululu wa watu siyo solution ya kutafuta wawekezaji waje kuwekeza nchini mwako kwanini asitumie balozi zetu zilizoko huko ulaya na marekani kutafuta hao wawekezaji ? Tuna mifano ya nchi ambazo zimepiga hatua kubwa kwa kuwa na foreign investments nyingi kutoka ulaya na marekani...
Kuna nchi moja kutoka gulf states imechanja almost raia wake wote laikini maabukizi na vifo ndo yanazidi kutapakaa na kila siku wana strengthens mashariti na ku lock down nchi yao. Vaccine siyo solutions at all.
Lazima akosolewe kwenye mazuri tutampongeza na kwenye mabaya atasemwa ndo maana hata JPM alikosolewa we have to be fair maana JPM alipokuwa anokoselewa wengi humu Jf walikuwa wanashangilia....honeymoon is about to be over
Kuna nchi fulani Middle East % kubwa ya raia wake wamechanja tena wamemaliza 2 dosages lakini cha kushangaza watu wanakufa above 50 everyday na maambukizi yanaongezeka kila siku though walifuata ushauri wote wa nchi za mangharibi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.