CHADEMA imechemka saaaaaaaaaaaaaaaanaaa...Watu walikuwa wakisema ni chama cha Kaskazini na Kidini.Lakini kwa hekima ya viongozi wakajitahidi kuweza sawa na kurekebisha fikra potofu za wananchi na hatimaye CDM ikawa sio ya kaskazini wala ya kidini...Sasa inaonekana kumbe walioona hilo toka awali...
Ninampango wa kuuza gari yangu aina ya toyota caldina-GT ya mwaka 1997,4WD,cc 2,000 mwezi wa 7 mwaka huu.Iko katika hali nzuri kabisa.full kiyoyozi.kama utakuwa bado hujapata hadi muda huo tuwasiliane.Lengo la kuuza ni kubadili aina ya gari.
Mwampamba unatutia aibu vijana wenzako kwa kuwa na upeo finyu wa kufikiri.Kwa Dr. Si staff wa CDM?..We mwampamba umewahi kuwa staff wa taasisi yoyote ktk maisha yako????...Je hujui kuwa ukiwa staff wa taasisi yoyote unaruhusiwa kukopa toka katika taasisi hiyo????...watu tuna kopeshwa...
simba waachane na mechi zote mwaka huu waende wakatengeneze mambo ya club kwanza na wajipange upya ndipo warudi kwenye ligi.La sivyo watafungwa sana mwaka huu.
Ndugu yangu, watu tunatembelea magari ya 40m kwa mkopo.Na mkopo wenyewe hatukusema tunanunulia magari maana huenda benki wangesema lazima uwe na comprehesive.Bima 3rd party.Hapo utajua kwanini mtu hukata network ya kufikiri na hatimaye anajinyonga kwa kamba hadi kufa.
Ingia hapa uone madhara ya ajali hiyo ya ubungo terminal,
MICHUZI: ukuta waangukia magari na kuharibika vibaya ndani ya kituo cha Mabasi ya Ubungo Bus Terminal jijini dar leo.
nimekuwa mshabiki kwa sehemu wa kusikiliza redio ya clouds FM asubuhi nikiwa kwenye foleni.Lakini leo nilijuta niliposikia maneno ya kejeli na dhihaka dhidi ya gazeti la Tanzania Daima lililoongea kuwa "hukumu ya Lema ni ya kihistoria".Hata kama asingeshinda mimi ningeona ni ya kihistoria kwa...
Clouds FM wameniboa sana leo asubuhi.Bahati yao kesho ni jumamosi na hawana kipindi chao cha power breakfast, yaani wasingeongea kabisa kuhusu kesi ya lema na kujifanya hawajui kinachoendelea.Nafikiri credibility yao itaanza kupotea kabisa.Aibu sana imuendee Grald Hando wa Clouds FM Power Breakfast.
Hengereni wapiga kura wa Arusha, hongera Lema.CCM inatakiwa wawalipe wana Arusha na Lema kwa damage ya kisaikolojia kwa muda wote kesi ikiwa inaendela.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.