Habarini wana jF,
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 22 ninasumbuliwa na tatizo la kuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa kila muda.
Nililikuwa naomba msaada wa dawa inayoweza kuniondolea hamu ya tendo la ndoa ambayo haiwezi kuniathiri nguvu zangu.
Nawasilisha kwenu mchango wako ni muhimu...
Habarini wadau natumaini muwazima
Niende mojakwamoja kwenye mada
Mimi nikijana mwenye umri wamiaka 27 nina mpenzi wangu ambae tumekubaliana kuoana lakini haniamini kua nampenda anahisi kuwa nina mtu mwingine tumekuwa na ugomvi mienzi miwili iliyopita kutokana na kutokuaminiana .
Ila tumefikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.