Yeah kweli Mkuu tatzo la kazi za O&G uwez tumia uzoefu ulioupata kufanyia Kaz sehem nyngne Ile ukienda kwngne unaanzia na zero kabsa Ila uzoef na Maisha ya O&G uwez pata industry yyt Ile thanx God and Baker Hughes uwez amn saiz sio Engineer tena Ila ni kwa mda tuu saiz npo zangu serikaln hakuna...
Ahahaha mm ni mmoja wapo nilchukuliwa Kama Field Engineer upande wa MWD(Measurement while drilling) na Baker Hughes Oil price imeshuka thaman wamenila kichwa na Oil price itakuwa stable in 5 yrs thanx God nmetumia cheti cha FTC kwa sasa npo serikaln Kama Technician uwez amn Degree yangu ya...
Achana na hao wanazd kumwaibisha marehemu mambo ya window waachie hao watoto Tunda la apple Halina virusi na Kama vpo kila unapokuwa na uwezo wa net/wireless kuna pro znaondoa ww iyo USB yako ukimalza futa nenda na recycle futa then weka porno zako narudia tena hakuna virus
Karbu kwenye...
Ahahhahaha kafute kwenye recycle mkuu acha kumwaibisha marehem Steve J ukiwa unafuta kwenye flash ukimalza nenda kwenye recycle napo futa then weka porno zako kwa flash au hzo movies zako Mkuu
Habari wakuu,naulizia kama kuna fununu zozote za kuanza kuitwa kazini kwa wale tuliobahatika kufanya usahili wa mwisho pale Nelson Mandela -arusha mwezi uliopita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.