Habari Wana JF.
Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia.
Hivyo...
Habari wadau Great thinkers wa humu JF
Natamani mko poa na ambae hayuko vizuri Mungu atamsaidia atamrudisha katika hali yake ya kawaida.
Wadau nimekuwa nikifuatilia sana baadhi ya Madalali wanaojitangaza katika Social networks hasa Instagram na Facebook ambao wananadisha nyumba zinazouzwa Kama...
Tanzania kuna sheria mjomba?Nchi gani hiyo inayoendeshwa bila ya matakwa ya wananchi kama tuna viongozi wa kweli wangetupatia Katiba mpya na tume huru ila wanatumia Dola kujinufaisha wenyewe na kujilimbikizia Mali bila kujali wananchi wanavyopata tabu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.