duuh! Police mmeyasikia na kuyasoma haya???jueni sasa hivi mambo si kama zamani ya usili usli,mmeletewa mezani kila kitu.tupeni matokeo ya haya kama mliyafanyia uchunguzi,mmwtupa wa maladhi ya DK MWAKYEMBE.sawa,sasa ni wakati wakutupatia na matokeo ya hayo mliyopewa long time with no any public...
1)Ange muuliza,mh Rais,una kili kwamba uchaguzi uliopita ulichakaluliwa na tume ya uchaguzi?na kama ulichakachuliwa mbona
ina sadikika hata hao ulio wateuwa wana ma skendo kibao?
2}Je kwanini aliusaini muswada wa uandaaji katiba mpya?ili hali wadau wengi bado walikuwa na duku duku juu ya hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.