Funga ndoa nae hadi umekuw na hisia naye za kimapenzi hakuna mbaya
-kitu nimeelewa binti anakupenda sana nisijue ww
#utakuwa na family bora
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujipendekeza na ukandamizaj
Mtu anaye jpendekeza ni anaboa kufanya nae kaz in real sense sio watendaj wazur ni waigizaj wazuri
Mnyonyaj na mkandamizaj
Uyu nae sio poa anatumia weakness yko kukumaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha vs dsm
1. kuhusu pango dsm ni high
2. kuhusu misosi sokon arusha some how cheap
3. Bei za nguo na electronics arusha bei juu
4. Foleni dsm juu sana sana
5. Urahis wa kufanya business dsm ni rahis kutoboa
6.
7.
Unaeza malizia
Sent using Jamii Forums mobile app
Na place hapo kawwhida na kuchagua email ambayo ipo kwa google drive butbmatokeo yk ndo kama nilivyo anfika
Never ndo uwa na select lakn juz nme reinstall na ku lose data zangu
Sasa natafuta solution
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wa kubwa
Samahan naomba msaada jns ya kufix tatizo la chats backup
Iko iv na choose email ya Google drive but WhatsApp ina nambia can't find my account
Niki place ok ina fanya authentication bila kumaliza
Nisadien jns ya ku fix tatizo hili wskubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuomba kuongezewa
Kwanjia ya oral/verbal Kama ina ruhusiwa na inawezekana
Officially
Andika hata barua convicing one kwa director wako mshawishi juu ya nyongeza
All d best
Hela ya kuwapa mm sina lakni
kinacho nisikitisha jamaa kaniondoa mkoani kanigea ahadi kibao kuna kazi bro nafika huku kazi inageuka Biashara mara unatakiwa ku invest
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.