Search results

  1. Comi

    Siasa iwekwe pembeni katika maisha ya wananchi

    Habarini wanajukwaa. Sasa hivi wimbo wa Taifa unakaribia kubadilika na kuwa baa la njaa. Wengi wetu wanachukulia kisiasa zaidi na wengine kinadharia zaidi. Tunaposema kuna njaa lazima tuangalie visababishi ambavyo mara nyingi huwa ni ukame, mafuriko au ugonjwa wa mazao n. k Sasa kiuhalisia...
  2. Comi

    tutafika kwa shida

    Kuanzia mwananchi hadi viongozi watanzania wanataka mabadiliko ya kimaendeleo. Lakini kuna vya kufikiria zaidi . Hivi katika Baraka la mkuu kuna wachumi wangapi? Kama kweli mkuu anataka kuleta mabadiliko ya kiuchumi alitakiwa kuwa na wachumi hasa na si wa bora mkono uende kinywani. Ni...
  3. Comi

    Bajeti iliyopitishwa ya mwaka 2016/2017 utekelezaji unangoja nini?

    Ikiwa ni takribani miezi 5 tangu bunge la bajeti kuisha, wizara zote ziliwasilisha bajeti zao na kisha kupitishwa aidha kwa mbwembwe au kwa kufanyiwa marekebisho kadhaa. Hivi wanajamvi katika bajeti ya wizara zote je ni bajeti gani iliyokuvutia na je ni kwa kiwango gani kimetekelezwa hadi muda...
  4. Comi

    Nani yuko tayari kufanya hivi?

    Je, kuna mwananchi anayeweza kusimama kidete kama haya maneno yanavyojieleza hapa? Ajulikane kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi alipokuwa anahudumu kama mlinzi wa maslahi ya umma. Kumchunguza rais, kuwachunguza wakuu wa polisi, maafisa wakuu serikalini na hata wanasiasa wa upinzani...
  5. Comi

    Naombeni msaada maeneo ambayo kuna wakulima wenye kulima mazao ya biashara

    Za asubuhi nyote. Naombeni msaada kidogo wa kupatiwa maeneo ambayo kuna wakulima wengi wenye kulima mazao ya biashara. Na wakulima wenyewe wanauza kwa vikundi au wanauzia makampuni moja kwa moja. Mazao yenyewe yawe tofauti na pamba na korosho ambayo yanaukiritimba zaidi na siasa ndani yake...
  6. Comi

    Kuna mabadiliko yoyote kutokana na kuongezeka kwa wabunge wa upinzani?

    Baada ya uchaguzi mwaka jana. Upinzani umeongeza idadi ya wabunge maeneo mbalimbali. Je kuongezeka huko kuna mabadiliko yoyote ya kimaendeleo waliyoyaleta katika maeneo yao? Toa mfano wa mabadiliko hayo
  7. Comi

    Tuendako pagumu

    Kutokana na hili tangazo ni wazi kuwa hali za watanzania hususani wenye magari binafsi wanaotegemea utalii kuwa magumu. Haiingii akilini mtu amepata tenda ya ghafla umwambie aende kutafuta kibali dar. Nini kinachotafutwa hapa zaidi? Kama ni kodi inalipwa na mmliki wa gari husika. Hapa naona...
  8. Comi

    Nawaza tu, kunatakiwa umakini katika haya..

    Karibia kila siku kuna wahitaji wa mahusiano ambao wanatoa yao ya moyoni. Kwa ukaribu uhitaji wao huwa unafanana kati ya wanaume na wanawake. Je! Wahitaji wanachukua muda wa kuwafuata pm ambao tayari wameshatoa taarifa zao kwenye jukwaa au ni kujionyesha kuwa na wao wametangaza? Pili mods...
  9. Comi

    kuna umuhimu gani

    kuanzia mkuu ameapishwa rasmi tumeona mabadiliko sehemu mbalimbali. Si ajabu ndani ya wiki au mwezi kusikia taasisi fulani amebadilishwa kiongozi au amewekwa mwingine. Nini kinachotafutwa zaidi katika pangua pangua hiyo? Wengine watasema ni ufanisi. Je! Katika kutafuta huo ufanisi kipi...
  10. Comi

    Nini muafaka wa sheria na mipango endelevu katika maendeleo na usalama wa nchi yetu?

    Sasa hivi ni muda muafaka wa kuweka sheria na mipango endelevu katika maendeleo na usalama wa nchi yetu. Karibia kambi zote za jeshi ziko karibu na makazi ya wananchi, kuanzia mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, shinyanga, morogoro. Nadhani wizara ya ulinzi ingeweka utaratibu wa...
  11. Comi

    msaada tutani

    za jumapili nyote. naomba msaada kwa mwenye kujua namna ya kutatua changamoto hii. nimeinstall bluestack na baada ya hapo nikainstall application tofauti na mojawapo ni tubemate. sasa nimedownload movies ila hazionekani kwenye hard disc. na haikubali kucheza kwenye program za pc isipokuwa...
  12. Comi

    nani mlengwa

    za mida waungwana. samahani hivi nini lengo la kuwashwa muziki/ luninga ndani ya mabasi au bar/ hotel/ grocery? vitu hivyo vinawashwa kwa ajili ya wahudumu au wateja. mara nyingi utakuta wahudumu wanasikiliza au kuangalia kile wanachokitaka sasa hapo nabaki njia panda wamejiwekea wenyewe au...
  13. Comi

    Natafuta dada wa hiari

    Amani iwe nanyi. Natafuta mdada wa kuchati naye na kubadilishana mawazo, nimeajiriwa katika sekta binafsi na kwa sasa niko Kanda ya ziwa.
  14. Comi

    Nini hasa kiini cha migogoro ya kisiasa inayoendelea nchini?

    Za mida wadau na wapenda amani katika Tanzania wote. Kwa muda wa wiki mbili za kuelekea mwisho wa mwezi huu wa nane kuna matamko mengi yanatolewa aidha na viongozi wa serikali au vyama vya kisiasa ambapo kila mmoja anamtuhumu mwenzake kwa kwenda kinyume na katiba au na mtirirko wa uongozi...
  15. Comi

    Msaada wa kuroot htc One mini

    Za mida wakuu, naombeni msaada wa kuroot HTC one mini
  16. Comi

    msaada tutani

    kwema waungana. naombeni msaada. ninatumia simu aina ya htc one mini sasa mda huu nikiiwasha inaishia kudisplay neno la htc na kujizima. nimejaribu kurecover na kufanya hard reset lakini kabla ya kubonyeza button ya volume simu inakuwa imeshajizima. je shida inaweza kuwa nini?
  17. Comi

    msaada

    heshima kwenu waungwana. naomba msaada mwenye kujua mahali wanakouza kilo cha HTC ONE MINI PAMOJA NA CHASES.
  18. Comi

    Je, Hii ni serikali ya kisiasa au kiuwajibikaji?

    Kwa msemo huu "wataisoma namba" naona wafanyakazi wengi wakiomba kustaafu kabla ya muda wao kufika. Kwa kasi ambayo serikali inaenda nayo no dhahiri kwamba viongozi wengi watakubwa na mkono wa sheria kutokana na utendaji mbovu uliokithiri katika utendaji wao. Viongozi mnaoongoza mashirika yetu...
  19. Comi

    Bado safari ni ndefu

    Za asubuhi waungwana. Amani iwe nasi. Sasa no takribani zaidi ya siku 20 tangu rais mpya kikatiba kushika hatamu. Tumeshuhudia mambo mbalimbali yakitukia na habari nyingi na nzito za kushangaza umma juu ya uozo uliokuwepo. Pamoja na hayo yote tumeshuhudia serikali ikitoa maagizo kwa...
  20. Comi

    Here we are

    Tanzanians 'robbed' of correct result Abdallah Safari - vice president of Chadema, one of the party's in Tanzania's opposition coalition - has rejected the results of the presidential poll which showed John Magufuli from the ruling CCM party as the winner. He told the BBC that the tallying...
Back
Top Bottom