Habarini wanajukwaa. Sasa hivi wimbo wa Taifa unakaribia kubadilika na kuwa baa la njaa. Wengi wetu wanachukulia kisiasa zaidi na wengine kinadharia zaidi. Tunaposema kuna njaa lazima tuangalie visababishi ambavyo mara nyingi huwa ni ukame, mafuriko au ugonjwa wa mazao n. k
Sasa kiuhalisia...
Sidhani kama mfumo wako wa gari uko salama. Pamoja na baadhi ya wachangiaji kukupa moyo ila kuihalisia hand brake ikiwa sawa gari haliwezi kutembea kwa umbali mrefu. Ingekuwa ni hivyo pasingekuwa na umuhimu wake. Chukulia gari linamzigo na ni kwenye mlima halafu ukasimama kwa kupitia hand...
Zipo madukani. Shida iliyopo hata baadhi ya wauzaji hawajui matumizi ya matairi.wengine wanaagiza Na kutumia matairi ya mazingira ya baridi wakati yuko dar
Pole sana. Kwa haraka Anglia diff mounting inaweza kuwa imekatika Raba zake.hata we we mwenyewe unaweza kuangalia kwa kimwambia MTU awe anaweka gia Na wewe uiangalie
Hivi nani aliyeingia nao mkataba? Hao unaowatetea hawakujua hayo mambo? Nani asiyejua ulaji uliokuwa unapatikana ndani ya chama? Ccm wenyewe ndiyo wakwanza kuliga dili. Mda huu hatuongelei porojo. Jibu hoja za kafumu na dangote kinadharia na siyo kimaneno. Dangote hana miaka miwili kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.