Tupeane pole! Hata nil apply kwenye first round na mkopo niliomba. Mi nashindwa kuelewa kuwa walio taalifiwa ni new applicants au na sisi? We uko chuo gan? Mi nko SAUT TABORA. Ingewezekana kuhama nchi mi ningehamia rwanda.
Ukosefu wa mkopo tayar umesha determine who is real friend, and who is not! Mi nimeshaona! Ama kwel pata pesa tujue tabia yako! Yaan jamaa walokuwa wakaribu hata ukimpigia hapokei anahib utamwomba! Na yule unaemwomba atakuambia cna helaaa.... Ok poa, acha nile msoto, urafk baadae!
Wauaji wakubwa! Wamenibania mkopo, wakat kaul mbiu ni 'mkoto kwa wahitaji." mi naona kawambwa kaz imemshinda ni bora apelekwe utamadun. Na kaul zake za ajabu et kusoma univ ni jukumu la mzaz na si selikari" mbona wao wamesoma bure! C ndo wametuwekea masharti!
HESLB nahic hawajal maisha ya wanafunz! Mi wameninyima mkopo ' wakat vigezo vyote ninavyo! Kisa nimechaguliwa second selection! Wakat mkopo niliomba mapema tu! Cjui wanafil nitaish vip chuon? Vyuo vyenyewe husajiliw mpak nusu ada itoke! Huna uhakika wa pesa, hapo kuna kusoma kweli? Tangu mwanzo...
Mi ni m1 kati ya waathilika wa ukosefu mikopo vyuo vikuu! Wanatuhimiza tusome had chuo kikuu alaf ndo wanatubwaga! Tatizo lina anzia juu, yaan rais na selikal yake. Wamehalibu kabisa feature yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.