Ameshindwa aliyewatoa rokapu? Ameshindwa aliyewafungulia mikutano ya siasa mkakosa hoja? AMESHINDWA AMBAYE NCHI NZIMA MIRADI INAENDELEA? Ameshindwa ambaye amewapa kibali cha kuandamana mpaka mkichoka? Tukutane 2025 tutajua nani ameshindwa.
Na Elius Ndabila
0768239284
Habari wanajamii forumu. Ni muda sijaandika hapa Zaidi ya kusoma. Nilikuwa msomaji kidogo , kwa hiyo mkiona kuna makosa kwenye andiko basi mjue ni uzee.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Majaliwa amehitimisha ziara yake ya kikazi jana Mkoani Songwe...
KAZI NZURI YA RAIS DKT SAMIA INAHITAJI KATIBA MPYA.
Na Elius Ndabila
0768239284
Kumekuwa na mjadala wa Katiba mpya ambao umekuwa ukiibuka na kufifia. Mjadala umekuwa unaibuka na kufifia kwa kuwa una sura mbili. Sura ya kwanza wanahitaji katiba mpya na sura ya pili hawahitaji katiba mpya...
Ikinyesha utaambiwa tope zimejaa, labda kwa kuwa Maharage na jamaa WAMETOKA. Hawa wanataka kujaribu upepo mzuri wa Mama kuwa the best President ever lead
Umekosa Kazi kipindi hiki Cha likizo umeamua kuja na kihoja hiki? Kwanza kabla sijakutwisha majibu why umeogopa kutumia account yako ya kipindi kile? Hahahaha..... nyie ma abroad mna shida sana.
_Hakuna kipindi ambacho UWT Mbeya wanafuraha kama kipindi hiki. Wanafuraha Kwa kuwa viongozi wao...
Huu ni uhuni! Ninachokiona hapa ni Mhe Yoweri Museven kutumia mbinu zingine za kimedani kujaribu "KUJIPINDUA" ili aweke mtu sahihi wa kumrithi.
Mwisho wa hii movie ninadhani atakakuja kusema amepinduliwa na Mtoto wake atashika state. Let's go!
Baada ya simulizi ya jana juu kifo Cha Mwalimu Nyerere tarehe 14/10/1999, simulizi iliyopambwa na ulikuwa wapi tarehe hiyo! Niliahidi kuendelea na Uchambuzi wa MAONO ya Mwalimu Kwa Taifa hili.
Jambo kubwa na la msingi sana HAYATI Julius Kambarage Nyerere ndiye kiongozi wa mstari wa mbele katika...
RAIS SAMIA ANAONYESHA UTAWALA BORA KWA VITENDO.
Na Elius Ndabila
0768239284
Moderator ninakumbuka kuna mtu hapa jamii forum aliwahi kuuliza, nani anajua anakotupeleka Rais Samia? Ninaomba mtag andiko hili kwa kuwa Rais Samia anatupeleka sehemu yenye mwanga mkubwa wa Umoja wa Kitaifa.
Rais...
SHAKA H SHAKA, KATIBU KATIBU WA ITIKADI AMEZUNGUMZA HOJA NZURI SANA.
Na Elius Ndabila
0768239284
Leo nikiwa nimekaa mahali ninapumzika lilinijia wazo moja. Wazo langu lilifanana Kwa kiasi na wazo la Shaka, lakini Mimi nilienda Mbali zaidi.
Nilijiuliza hivi, kazi ya Viongozi wa CCM ngazi za...
UVCCM KWENYE VITA YA MAFUTA TUPO UPANDE GANI?
Na Elius Ndabila
0768239284
Mjadala mkubwa kwa Taifa letu ambao unashika kasi kila kuitwapo leo ni kupanda Kwa gharama ya maisha kuliko sababishwa na ongezeko la mafuta mara dufu.
Mjadala huu umepamba moto Kwa miezi miwili na ushea sasa. Lakini...
SERIKALI HAINA UWEZO WA KUPUNGUZA HIZI BEI ZA MAFUTA?
Na Elius Ndabila
0768239284
Nimesoma bei mpya ambazo zinaongeza maumivu mara dufu kwa mtu wa chini. Nimesema zinaongeza maumivu kwa mwananchi wa Chini kwa kuwa natambua wengine wanaotumia sawa sawa kodi za wavuja jasho maumivu hayawafikii...
Mijadala mingi muda hautoshi. Nimeona nishiriki kidogo mjadala wa aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Ndg Makonda. Nimeona watu wengi wanajaribu kulijadili jambo hili kwa upambe na tofauti zao za huko nyuma.
Wanaoweza kushangilia hili la Makonda ni wale tu ambao wanategemea kuishi leo...
ELIMU ITOLEWE ZAIDI JUU YA MFUMKO WA BEI NA KATIZO LA UMEME.
Na Elius Ndabila
0768239284
Kesho macho na masikio yatakuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM. Kabla ya mkutano huu mkubwa ninaomba nitoe changamoto kwa Wizara ya Nishati, Kilimo na Biashara.
Kumekuwa na katizo la umeme. Waziri...
Mambo 10 kuelekea mwaka mmoja bila jpm/ bulldozer.
JASIRI
Hayati Magufuli alikuwa ni kiongozi jasiri ambaye aliamini kwenye kuamua hata kama mawazo yake hayaungwi mkono na walio wengi. Ujasiri wake ndio ulisaidia kutekeleza miradi Mingi na mikubwa ambayo haikuwahi kufikiriwa kuwa ingetekelezwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.