Huku taifa la Kenya likisherehekea miaka 59 ya uhuru, hotuba ya Rais mpya wa awamu ya tano Dkt. William Ruto ilikuwa ya muhimu sana na kati ya mambo mengi aliyoyasema ni ahadi 10 muhimu; lakini swali la msingi lililobakia kwenye vichwa vya raia wengi ni Je atatimiza ?
Hizi hapa ahadi 10 za...
Aliyekuwa Rais wa awamu ya nne Uhuru Kenyatta anatarajiwa kujiuzulu kama Mwenyekiti wa Muungano wa Azimio, aliobuni pamoja Mhe' Raila Odinga katika kampeni za Uchaguzi Mkuu uliopita.
Hatua hii ina maana kuwa sasa Raila Odinga na mgombea mwenza Martha Karua ndio watakaondelea kuongoza Muungano...
Nyota wa filamu kutoka nchini Marekani Bruce Willis ameamua kuachana na uigizaji baada ya kubainika kuwa na ugonjwa wa aphasia.
Aphasia ni hali inayozuia mtu kuzungumza na kuandika. Mara nyingi ugonjwa huu husababishwa na uharibifu wa upande wa kushoto wa Ubongo.
Taarifa za kustaafu kwake...
Nyota wa 'bluez' kutokea nchini Canada Celine Dion leo anasherehekea kutimiza umri wa miaka 54. Nyota huyo alitamba na wimbo wa "My Heart will still go on"
Mtihani mkubwa ulioko mbele ya Wagombea wa kiti cha Urais #Kenya (Odinga na Ruto) ni chaguo la Mgombea-mwenza.
Chaguo lao wote wawili huenda likabadilisha mchakato mzima wa siasa na kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu Agosti 9.
Ni suala la kusubiri tu.
Nyota wa Bongo flavour Diamond Platnumz amepata taabu sana mitandaoni kwa siku kadhaa sasa kutokana na kiingereza chake kwenye filamu ya #YoungFamousAndAfrican.
Mdau mmoja amesema kuwa wengi hapa Afrika hususan Afrika Mashariki bado fikra zetu zinatawaliwa na wakoloni.
Kiingereza sio kipimo...
Ubalozi wa #Kenya nchini #DRC umelaani vikali 'kauli za dharau na kejeli' alizotoa Naibu Rais Williams Ruto kuhusu taifa la DRC.
Baadhi ya raia wa DRC wameanza kususia bidhaa za Wakenya walioko jjjini Kinshasa.
Naibu Rais William Ruto aliikejeli DRC kwa kusema taifa hilo ni maskini na halina...
Naibu wa Rais #Kenya Dr. William Ruto amezua hisia mseto miongoni mwa wananchi baada ya kusema hatamani kudumu kwenye urais kwa kipindi cha miaka 10.
Hayo aliyasema wakati akinadi sera zake za 'Hustler Nation' yaani taifa la wapambanaji katika kaunti ya Nyeri.
"Sina haja na miaka 10 ya urais...
Joe Muriuki - Mkenya wa kwanza kutangaza kwamba ameathirika na virusi vya UKIMWI amefariki dunia.
Dr Joe aliathirika miaka 34 iliyopita.
----
NAIROBI, Kenya, Feb 15 – Dr Joe Muriuki, the first Kenyan to go public about his HIV status after being positive for thirty-five years has died...
Ed Woodward amejiuzulu wadhifa wake kama Mwenyekiti wa Klabu ya Manchester United.
Kujiuzulu kwake kunakuja baada ya wadau waandamizi wa klabu hiyo kuitikia wito kuwa klabu hiyo imewadharau mashabiki kwa kujiunga na Super League.
Vyanzo vya habari Manchester vinaripoti kuwa Manchester United...
Wadau mbalimbali wa mpira wa miguu barani Ulaya wanazidi kupinga kuanzishwa kwa Super League.
FIFA na UEFA zimekosoa vilabu vyote 12 kwa kuweka maslahi ya pesa mbele kuliko mpira na heshima ya mashabiki.
Kampuni ya LG imetangaza kusitisha utengenezaji na biashara ya simu za mkononi kutokana na ushindani mkubwa sokoni sambamba na kushindwa kutengeneza faida.
LG wamekuwa kwenye biashara ya uzalishaji wa simu za mkononi kwa takribani miaka 20.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.