Pia mm ninashida kama hiyo nilituma pesa toka mpesa kwenda mitandao mwingine Tigo leo siku ya 3 wanasemaje wakati natuma net work ilikua chini pesa kwangu imetoka kule haijafika
Leo naenda kwa mwanasheria anipe utaratibu namna ya kuwashtaki maana ni kukwamishana .
Hao Ma Rc Na Ma Dc siwaliagizwa kutumbua majipu mengine huko huko Kabla hayajafika kwa Mkuu so unakuaje Leo tena wazuiwe kwa hapo Na tegemea baadhi ya Ma RC Na Dcs watajiudhuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.