Israel ni nchi kama ulivyo Tanzania, Saudia Arabia, USA nk ndani yake wapo wakristo na wasiokuwa, wapo waarabu na wasiokuwa, wapo waafrika na wasiokuwa
Taifa la israel lilikuwepo zaidi ya miaka 6000 iliyopita, kiongozi wa kwanza akiwa ni nabii Mussa, hicho ni kipindi cha miaka zaidi ya 3430 kabla ya kuzaliwa mhasisi wa uislam yaani Muhammad au kabla ya kuanzishwa kwa uislam miaka yapata 3290.
Quran inakiri kuwepo kwa mfalme Suleiman aliyekuwa...
Israel wanatambua moses ni kiongozi wao wa kwanza na mkombozi dhidi ya uovu wa Mwarabu sliyewafanya watumwa, Jesus na manabii wengine ni sehemu kutoka wao, hivyo wana haki kujiweka kando na injili.
Ismail ni Mtoto wa nje, hawezi kuwa wapekee; Mtoto wa pekee ni isaka maana ndiye Mtoto wa kwanza wa Ibrahim kwa maana ya Watoto halali.
Kwanini ismail na mamaye walifukuzwa kwa amri ya mama isaka?
Kwanini Ismael hakutafutiwa mke na baba yake kutoka kwa nnduguze kama ilivyotendeka kwa isaka...
Hawapingi Jerusalem kuwa makao makuu ya Israel, ila wanaona bado ni mapema sana kwakuwa suala hilo wanaamini ni la kubadilika kwanza pamoja na mambo mengine
Unaujua uchumi wa geita iliyoundwa kutoka maeneo ya mwanza na kagera? Kama mwanza ni ya Pili kiuchumi, unadhani geita Itakuwa anga zipi baada ya kumeguka kutoka mwanza kwa sana?
Msiwe mnajiropokea tu
Usiweke mawazo yako kuwa sheria husika, soma mamlaka na mipaka ya mkuu wa mkoa ndio utajua ametoa wapi mamlaka ya kuvunja mabaraza hayo kwa nsfasi kubwa yalikuwa yanakandamiza wanyonge (mimi udhahidi ninao)
Zingatia sababu za kusimamisha maana uozo umeonekana wazi dhidi yao, asingechukua hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.