Miundombinu haijengwi kwa kuangalia miaka 10,20 ijayo! Miundombinu inapaawa kujengwa kwa kuangalia miaka 100, 200 ijayo! Alafu kwa mashabiki wa mpira mnatuonea kwa kujenga pitch mbali na mashabiki kwa hizo olympic stadium, Kwanini msijenge football stadium?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.