Habari ndugu wote wa JF,
Baada ya kujisikia mwili na viungo mbalimbali vikiuma sana, leo nimeenda kufanya vipimo mbalimbali kujua tatizo ni nini. Na haya ndio majibu ambayo nimetoka nayo maabara.
Najua humu kuna ma Dr wabobezi kwenye nyanja hii ya afya, hivyo naomba mnijuze hivyo vipimo...
Habari wanaJF, naomba msaada wenu wa mawazo nimetokewa na vipele mwilini ambavyo vinawasha sana. Vilipoanza kujitokeza nilijua ni fungus so nilitumia dawa ya kupaka ya fungus lakini bado viliendelea kujitokeza.
Kwa sasa natumia sabuni ya dawa ya kuogea lakini bado hakuna nafuu. Nimeattach na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.