Ndugu zangu kuna mdogo wangu aliomba nafasi ya kazi ya uhasibu chuo kikuu cha muhimbili,je kuna mtu ameshaitwa kwenye usaili? kwani ni miezi imepita sasa.
kwa hiyo kama hivyo visima ulichimba mwanza na mwajiri yuko dar,ataenda huko apate uhakika wa visima ulivyochimba?nafikiri huo muda haupo na kama hatapata uhakika kwa haraka ataona anapoteza muda wake hivyo atakuacha na kumchukua mwangine na utakosa hiyo tender.>narudia tena ,kuandika kazi au...
Nakushauri uende kwenye internet ufungue "list of references "maana yake ni nini,haina maana kubishana kwa jambo dogo kama hili.Ninauhakika na ninachosema.Ukishaenda kuangalia utakubaliana na mimi.
Ok,but any literate person can list, the question is where such information can be verified to enable those who will enterview you to conclude if is true or not!
kwa msaada zaidi ni mafera wako kuanzia watatu na kuendelea pamoja na details zao na uwe unafanya nao kazi sasa au ulikwishwa kufanya nao kazi na hii inategemeana na urefu wa cv yako.
Hiyo ni format ya cover letter kwa kazi yoyote unayoapply sidhani kama kuna mtu anayeandika tofauti.Kuonyesha wewe unafit kwa hiyo kazi inamaana uonyeshe strength zako wazijue na hizo ndizo zitakutofautisha na wengine na strength zenyewe ni kwa kazi uliyoomba.Nakuomba uzingatie niliyokueleza...
ni barua ya kawaida ila utaonyesha strength ulizonazo tofauti na vyeti ili wakuconside katika hiyo post.Mojawapo ni experience,accomplishments na uwezo wa kutumia accounting packages katika kazi za uhasibu.
acheni uongo na msiharibu sifa za watu na taasisi,mbon kuna ndugu yangu amefanya hajakuta swali hata moja mliloweka huku?m mnatafuta pepa za interview ndo maana mnapewa feki na kupoteza muda wenu bure badala ya kusoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.