Mwalimu Nyerere alipata kusema nanukuu "dhambi ya ubaguzi itawatafuna, ukimbagua mtu wa kwenu kwa sababu ya ulevi tu, ulevi wa madaraka, ukasema sisi ni sisi na wao ni wao, sisi, na wao!!, hamtabaki salama, kwa sababu mtagundua kwamba hata sisi siyo wamoja" akaendelea kusema, "ukishaanza kubagua...
Kutokuzika hakuzuii DNA test isifanyike, masalia yake na kizazi chake kinaweza kutoa majibu, mimi nafikiri ifike wakati tuwe na weledi katika kila kazi tunazozifanya; ninaamini anachokifanya Waziri Mkuu ni sashihi kabisa na weledi wa hali ya juu kujiridhisha pasi na shaka kwa jambo hasa kubwa...
Wakuu wa Mikoa Leonidas Gamma na Stella Manyanya wameacha kazi kwakuwa wanagombea ubunge;;;;;;;!!!!! Magufuli anaendelea na kazi kwa kuwa hagombei urais:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:wala Mawaziri na Manaibu wao; hawagomei...
JE? Dr. SLAA KASEMA UKWELI?
Ndugu zangu habarini za asubuhi, nimesukumwa sana kuandika jambo dogo sana baada ya kusikia maelezo ya Dr. Slaa jana alipotangaza kujiuzulu siasa.
Nimemsikiliza kwa makini sana kuanzia alipoanza kueleza habari za kujitoa kwake CHADEMA na hadi kutoa mfano wa biashara...
kweli eti,,,,.! wapumbavu sana! unajua hawatampa kura Magufuli! duh,,, watukanwe tu hadi watoe kuraaa,,,,,! wrong way......! kwa matusi hayo hata waerevu mtawapoteza!
ajabu kabisa, waliyoko wizarani kwake kawashughulikia vipi na lini!? mbona kuna b. 520 zimelipwa wakandarasi hewa kwenye wizara yake, alichukua hatua gani!!!?
Mmmh.... hoja zilipaswa kuwa, tumejenga barabara, tumepunguza umasikini, tumetengeneza ajira, tumejaza dawa mahosipitalini, tumekomesha rushwa na ufisadi, wanafunzi hawakai chini tena,,,,.....n.k. kinyume chake hoja zilikuwa, tutakomesha rushwa na ufisadi, tutatoa elimu bure hadi kidato cha nne...
Duh! inaonekana kabla ya RICHMOND nchi ilikuwa na umeme wa uhakika sana na maendeleo yalikuwa juu sana! sasa mbona RICHMOND ina wenyewe! tena ni ya juzi juzi kabisa! hiyo slogan itasaidia kweli!!? nina mashaka sana, nafikiri hiyo timu haitathubutu hata kulitaja jina RICHMOND sana sana wataishia...
Mungu wetu tunayemwamini sisi ni mmoja asiyebadilika badilika kila mara kama yule mungu tuliyemzoea mwenye majina mengi tena hubadilika kwa wakati mara aliitwa Buzwagi, mara Meremeta, mara Kiwira, mara EPA mara ESCROW! na kadhalika
Mungu wa Mbingu na nchi atupiganie!
Nimekitazama sana kikosi cha campaign ya kumnadi Dr. Magufuli nikaona kuwa nii dhahiri kikosi chenyewe hakijatulia. Kinataswira tofauti kidogo na watu wanavyoweza kufikiri.
kwa tafsiri halisi ni mbinu ya kujaribu kuwashawishi wananchi wakusanyike kuwaona baadhi ya watu ambao CCM wanafikiri...
Ni muda mrefu sana sijaandika wala kupost hoja zangu humu jamvini lakini leo naona haja ya kufanya hivyo
Ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa nchi zinazofuata utawala wa kisheria kutoa nafasi kwa wananchi wake kupata haki zao za msingi kama yanavyoelekeza matakwa ya kisheria. Kwenye swala la Mh...
usipende kuamini kila kitu, mimi ninaishi Arusha jana Mgufuli alikuwa Arusha Hotel, hakuna hata inzi anayemfuata sana sana yuko na mlolongo wa magari ya umma tu na wapambe kibao wa serikalini wananchi wako busy na maisha yao ya kila siku!
Ni jambo la kushangaza sana, tena la aibu kabisa, kwanza haiwezekani kupewa msaada wa aina hiyo, mtu akupe msaada wa b. 1.6 wewe kama waziri tena msaada mkubwa kiasi hicho kwenye taasisi yako binafsi wa nini? pesa zenye mgogogro namna hiyo inawezekanaje ukawa ni msaaada tu wa kawaida, pesa hizo...
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa sana, ule ulikuwa mdahalo huru unao accommodate fikra na mitazamo tofauti. Haukupaswa kujikita kwenye upande au kundi fulani, tafsiri ninayoipata ni kwamba kuna kundi fulani tu ndio lilipaswa kuhudhuria na kujadili, sifikiri kama ni sawa kujikita katika...
nafikiri ni bora kuliko kuwafukuza shule kabisa kwa sababu maisha yao yataharibika zaidi, nimeelewa pia kwamba wale wanaoshikiliwa na polisi huenda wakawa hard core ambao huenda wakafukuzwa shule kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.