Search results

  1. roby2006

    Wasikutishe, hakuna wa kukulaani

    Huu nao ni ubatili
  2. roby2006

    Simulizi ya maisha yangu: Naamini kuna watakaojengwa na kuelimika na simulizi hii

    Hii nguvu uliyoitumia hapa ungetupa walau kamwendelezo kidogo ungefanya la maana sana
  3. roby2006

    Matajiri wa kitanzania mumeona mjengo wa Dkt. Mengi

    Aisee huyu Mzee kweli alikuwa akienda kula Christmas nyumbani
  4. roby2006

    Ngumu kuwa na rafiki wa kiume

    Kuna mmoja aliwahi kusemaga urafika kati ya mwanamke na mwanaume ni sawa na kutembea na muwa huku ukjifariji kuwa ni mkongoja utautafuna tu mbele ya safari
  5. roby2006

    Ni biashara gani ndugu zangu inaweza kuniingizia elfu saba kwa siku?

    Namba 2 akizingatia atapata faida hata zaidi ya hiyo anayotaka ila no 3 kwa mtaji wake ni ngumu kidogo
  6. roby2006

    Ujenzi Ubungo interchange wafikia 25%

    Mchoro wa kwanza ulikuwa wa kuombea pesa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. roby2006

    Anataka kufahamu faida ninayoingiza kwenye biashara yangu. Kaninunia baada ya kumwambia tupige na mshahara

    Usiogope anataka kujiridhisha tu kama kipato chako kinalingana na matumizi au la Isije kuwa kuna jamaa anamsaidia maana umesema unajinunulia kila kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. roby2006

    European Court of Human Rights says that homosexual marriage is not a human right

    Acheni kutetea upuuzi eti wamezaliwa na ulemavu kwa hiyo na wale wanaowaingilia wamezaliwa na ulemavu wa kuwalawiti wenzao
  9. roby2006

    Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

    Mi nilivyoona Samata hayupo tu nilijua tumeumia si shabiki sana wa mpira lakini mechi na C verde samata alikuwa chachu kubwa sana ya ushindi goli la kwanza assist alitoa samata na goli la pili alishinda yeye
  10. roby2006

    Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

    Bora tulivyoishia hapa maana kwa mpira huu huko mbele tungekuwa kituko
  11. roby2006

    Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

    Game ngumu sana hii sijui kama tutatoka kwa hawa Lesotho
  12. roby2006

    Baba yangu ni mkatili. Ananifukuza na sina pa kulalamika, nabaki na huzuni

    Baba yako amechelewa sana kukupa hiyo karatasi ya mkataba isijui alikuwa wapi siku zote
  13. roby2006

    Nipeni dawa, Madaktari wameshindwa

    Hili hali imenitokea juzi usiku asubuhi nikaamka vizuri tu mi nikajua ni hali ya kawaida kumbe ni tatizo Ila maumivu yake ni ya kawaida lakini si mchezo unatembea kama umetoka jando kwa wale tulioenda tukiwa tunajitambua
  14. roby2006

    Jifunze kitu hapa - TRUE STORY

    Pole sana mkuu kwa changamoto unazopotia endelea Kungangana na Mungu ndie mwenye majibu ya maswali yote unayojiuliza
  15. roby2006

    Hivi na hawa hawaendi mbinguni?

    1Petro 4:6 Maana kwa ajili hiyo hata hao waliokufa walihubiriwa Injili, ili kwamba wahukumiwe katika mwili kama wahukumiwavyo wanadamu Bali wawe hai katika roho kama Mungu alivyo hai.
  16. roby2006

    Sidhani kama kuna kitu kizuri hapa duniani kama kumtumikia Mungu

    Watu wengi wakisikia kumtumikia Mungu mawazo yao yanaenda kwa watumishi wanaosimama kwenye madhabahu kwa ajili ya kuhubiri wanasahau hata wao wanaweza kumtumikia Mungu katika nafasi walizonazo kama wakisimama katika haki, Bilbia inasema .Ufalme wa Mungu si kula na kunywa bali ni haki, amani...
  17. roby2006

    Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Kigamboni imetembelea vivuko vyake

    Huu upuuzi wa kusubiri mpaka majanga yatokee ndipo wanafanya ziara za kushtukiza ni unafiki wa hali ya juu
  18. roby2006

    Haya mambo utayaona Serengeti National Park pekee.

    Kweli kabisa hawa wanyama wanaokula nyama sio wakujenga nao urafiki kabisa wakati wowote wanakubadilikia
  19. roby2006

    Ni wakati gani wafu hufika kuzimu?

    Mwili ni mwenyeji wa roho hapa duniani mwili ukigoma roho lazima iondoke iende ilipojichagulia wakati ikiishi na mwili...haiwezi kubaki tena hapa duniani kwasababu mwenyeji wake hayupo. Japokuwa kuna kifo cha roho pia kulingana na maisha iliyokuwa ikiishi ilipokuwa na mwili baada ya mwili kufa...
Back
Top Bottom