Kuna mmoja aliwahi kusemaga urafika kati ya mwanamke na mwanaume ni sawa na kutembea na muwa huku ukjifariji kuwa ni mkongoja utautafuna tu mbele ya safari
Usiogope anataka kujiridhisha tu kama kipato chako kinalingana na matumizi au la
Isije kuwa kuna jamaa anamsaidia maana umesema unajinunulia kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilivyoona Samata hayupo tu nilijua tumeumia si shabiki sana wa mpira lakini mechi na C verde samata alikuwa chachu kubwa sana ya ushindi goli la kwanza assist alitoa samata na goli la pili alishinda yeye
Hili hali imenitokea juzi usiku asubuhi nikaamka vizuri tu mi nikajua ni hali ya kawaida kumbe ni tatizo
Ila maumivu yake ni ya kawaida lakini si mchezo unatembea kama umetoka jando kwa wale tulioenda tukiwa tunajitambua
1Petro 4:6 Maana kwa ajili hiyo hata hao waliokufa walihubiriwa Injili, ili kwamba wahukumiwe katika mwili kama wahukumiwavyo wanadamu Bali wawe hai katika roho kama Mungu alivyo hai.
Watu wengi wakisikia kumtumikia Mungu mawazo yao yanaenda kwa watumishi wanaosimama kwenye madhabahu kwa ajili ya kuhubiri wanasahau hata wao wanaweza kumtumikia Mungu katika nafasi walizonazo kama wakisimama katika haki, Bilbia inasema .Ufalme wa Mungu si kula na kunywa bali ni haki, amani...
Mwili ni mwenyeji wa roho hapa duniani mwili ukigoma roho lazima iondoke iende ilipojichagulia wakati ikiishi na mwili...haiwezi kubaki tena hapa duniani kwasababu mwenyeji wake hayupo.
Japokuwa kuna kifo cha roho pia kulingana na maisha iliyokuwa ikiishi ilipokuwa na mwili baada ya mwili kufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.