SIKUWEPO WAKATI MUUNGANO UNATOKEA.NIMEKUJA KUONA MATUKIO KWENYE PICHA TUU.KATIKA PICHA ZOOTE,PICHA MOJA YA TUKIO LA KUCHANGANYA MCHANGA NDIYO INAYONICHANGANYA.
IWEJE TUKIO MUHIMU KAMA LILE ANAELIFANYA NI MTU MMOJA TUU(Mwl Nyerere)?MBONA KARUME HAONEKANI KUSHIRIKI? NAOMBENI UFAFANUZI KWA...
Kwa ufuatiliaji wangu kwa kadri ya uwezo wangu,nimegundua maovu mengi yaliyobainishwa hasa hasa toka mfumo wa vyama vingi kuanza nchini mwetu.Najua kuna maovu mengi,ila kwa leo nayarejea machache yaliyojitokeza.KWANZA makosa ya kifisadi,rushwa na usainiswaji wa mikataba mibovu.PILI uuzwaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.