SIONE,acha ushabiki wa kijinga.Ina mana dafu likiwa ndani ya fungu la nazi nalo tuliite nazi?Kuwa mkuu wa nchi isiwe sababu ya kutokuanikwa mapungufu yake.
Sasa ndugu yangu Zamboni,Mbona hiyo TITLE ya kitabu yanstaajabisha??Kwa hiyo uhuru kaheri,halikadhalika ukoloni kwaheri.Kwa hiyo karibu nini au UFISADI?
Taso nashukuru kwa kuliona hilo maana kusema ukweli hata ile hati ya muungano haijulikani ilipo.Ndio maana nakubaliana na MtamaMchungu kuufananisha muungano wa siku ile sawa na ndoa ya mkeka.
Katika Muungano wowote,kila upande huleta mwakilishi japo walau mmoja kujumuika katika tukio maalum kama hili.Sasa kwetu Tanzania tukio hili lilikuwa hiyari au lazima?
SIKUWEPO WAKATI MUUNGANO UNATOKEA.NIMEKUJA KUONA MATUKIO KWENYE PICHA TUU.KATIKA PICHA ZOOTE,PICHA MOJA YA TUKIO LA KUCHANGANYA MCHANGA NDIYO INAYONICHANGANYA.
IWEJE TUKIO MUHIMU KAMA LILE ANAELIFANYA NI MTU MMOJA TUU(Mwl Nyerere)?MBONA KARUME HAONEKANI KUSHIRIKI? NAOMBENI UFAFANUZI KWA...
JASLAWS umeongea la maana katika hili.Kwani ni wabunge wengi tuu wa chama tawala na wa upinzani ambao makazi yao ya kudumu ni tofauti na ambapo majimbo yao wanayoyawakilisha.
wewe kweli magamba pure.Yani nchi yenye kilakitu lakini bado yawa ombaomba! Ndo mana mmekwishazoea kuhongwa t-shirt,vitambaa,mashati,khanga na vitenge,
Aachie ngazi kwa maana hata slogan yake anaikengeuka.Kwani alitamka kuwa atawapatia MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.Badala yake toka aingie madarakani anazidi kutupatia BORA MAISHA KWA KILA MTANZANIA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.