Yaani watu wengine ni wa ajabu sana.
Yaani kuleta taarifa hapa ni kutaka kushusha mafuriko ya Dar???
CCM watu wa ajabu sana. Tangu asubuhi Mkurugenzi na DAS, Polisi, watu wa uokoaji, maliasili na boti yao wote wapo hapa kuangalia bwawa!?
Eti ukute YANGA inawashauri Simba jinsi ya kupata kikosi kizuri Ili waifunge Yanga. Si itakuwa maigizo hayo!!??
CCM hii inayoshindwa kuendesha nchi kwa ufanisi ndiyo inaweza kuishauri CHADEMA iwe imara, Ili iweje!?
Hawataki.
Bungeni kati ya watanganyika na wazanzibari wengi wepi!?
Kama watanganyika hawautaki Muungano, basi kupitia bunge wauvunje.
Tena Spika si mtanganyika yule!!
Na magazeti ya michezo na hao wachambuzi ndiyo balaa.
Leo nimeona gazeti limeandika " Simba itupe Taulo ulingoni" yaani ikubali haiwi Bingwa.
Sasa huyo mwandishi anataka Simba iache kushiriki ligi Kuu!??
Ndiyo maana yake...
Simba wakichukua ubingwa wengine wakiwa washindi wa pili hakuna kelele.
Nakumbuka Yanga wakati wakiitwa " wa kimataifa" walikuwa wanaishia raundi ya kwanza tu.
Simba kufika robo fainali wanaitwa "mwakarobo" lakini Yanga haikuwahi kufika hatua hiyo kwa miaka 26 mfululizo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.