Habari za jioni wapendwa
Moja kwa moja kwenye mada.
Kuna KM mmoja wa CCM aliwahi kuropoka kwamba CCM itaitumia dola kubaki madarakani, sijui kauli hii ina ukweli kiasi gani labda wajuvi wa mambo mnitoe tongo tongo.
Ni kweli raisi wa nchi ambaye ni m/kiti wa Ccm ndiye anaye wateua wakuu wote...
Habari ndugu na marafiki,
Ingawa ofisi ya chama physically haikuwa tatizo kwetu, tulitaka kwanza kupanda mbegu ya itikadi ya chama mioyoni mwa watanzania na tumefanikiwa vizuri sana. Torati ya musa ilikuja kabla ya mahekalu, injili ya bwana yesu ilikuja kabla ya makanisa na korani ya mtume...
Mama yao aliwaambia wale kwa urefu wa kamba zao, pia wale lakini wasivimbiwe.
Huku yeye akiifungua nchi kwa kuzurura uarabuni kutafuta wajomba wa kuwakabidhi rasilimali za nyikani.
Wana nyika waliopewa nafasi katika ulaji wa keki ya taifa wako bize kujipigia mipesa na mabumunda wengine...
Waraka wa TEC umegonga panapostahili, hii ni taasisi makini Huwa hawakurupuki, na wanasimamia ukweli kwa dhati.
Kwa haraka mkataba wa bandari kati ya Tanzania na DP world una mengi yaliyojificha gizani zaidi ya uwekezaji.
Ninapata shida kumuuona mtanzania hasa mtanganyika kuupigia chapuo huu...
Mimi niko poa sijui watanganyika wenzangu,
Japo linaweza kunikutà lolote sasa na sekunde yeyote. Serikali ya Samia imejidhihirisha kwamba haitaki ushenzi kukosolewa kwenye mambo yanayohusiana na bandari.
Mama Samia sisi wakosoaji wako tunakuambia sawa tu, tunyonyoe utavyopenda lakini huwezi...
Hapa Tanzania wasomi wengi hawajihusishi na siasa, Bali wanajaribu kusimamia taaluma zao japo kwa kuvurugwa na wanasiasa Kila kukicha.
Wanasiasa wengi Tanzania hasa viongozi ndani ya vyama vya siasa elimu zao ni za kuunga unga.
Japo nina amini uongozi ni kipawa anachozaliwa nacho mtu lkn kwa...
Ndugu wana jukwaa ni matumaini yangu hamjambo.
Alikuwa mzalendo kwa nchi kweli kweli, alichukia mikataba ya hovyo, na hata Ile aliyosaini ilikuwa kwa Nia njema ingawa hakuwa na uelewa mpana na alitumia maguvu kuliko ushawishi na matumizi ya akili.
Hakupenda ubadhirifu, ufisadi na wizi kwa...
Mimi sio mwanasheria lkn ninatumia akili ya kawaida kuhoji na kutafakari mambo, tunaposema bandari zimeuzwa tuna maanisha kweli, nimeusoma mkataba huu kwa umakini mkubwa. Pamoja na mambo mengine mengi nitajikita katika
maneno muhimu sana yafuatayo:
Intergovernmental agreement (IGA)na Host...
Ndio maana tunasema CCM na serikali yake wamechoka, hawana uwezo na maarifa ya kuweza kuleta maendeleo kwa nchi zaidi ya kuifubaza na kuitafuna.
Watanzania 63 milioni tushindwe kweli kuendesha bandari kwa ufanisi kweli? Hii mikataba ya hovyo itaturudisha utumwani, haiwezekani mwarabu apewe...
Ni uchungu sana kuona kwamba rasilimali za taifa, mashirika ya umma na hata utu na uhuru wetu unaendea kuchezewa na wachache au yeyote atakayepewa mamlaka ya urais wa nchi hii. Yaani yeye na watu wake kwa kipindi chake.
Kila rais anayeingia madarakani hupiga pake na kutulia kimya akijua...
Tulitegemea kwamba wale walioumiza wengine wachukuliwe hatua kwa mjibu wa sheria, au hata kuomba msamaha hadharani lkn ni tofauti ndio kwanza wanapandishwa vyeo.
Tulitegemea kwamba wale walioumizwa watambuliwe, walipwe fidia na wakiri kusamehe.
Tulitegemea kwamba kama taifa zile sheria mbovu...
Nawasalimu wote.
CHADEMA tulikuwa na wabunge wengi kabla ya ukatili na chafuzi za yule mshamba, tukanyang'anywa kwa Hila, vipigo,vifo, vifungo na mateso.
Haya matatizo na uonevu tulifanyiwa na ccm Hawa Hawa wakiongozwa na jiwe/ kichaa.
Wametengeneza tatizo na wanajifanya kulisolve huu ni...
Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka ule. Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote...
Jumapili njema
Hata mjinga naye ana mawazo, mtanisamehe Kwa kweli Leo Nina Anika ujinga wangu hadharani. Ukiacha tamaa na uchu wa MADARAKA Kwa viongozi wengi wa afrika, Kuna mambo mengi sana yanayofanya uzalendo kuwa fumbo Kwa viongozi wetu ndani ya nchi Zao. Ukoloni bado upo afrika tena mbaya...
Watanzania tusipo badilika na kuacha uoga na unafiki tutataliwa na ccm milele na kubaki mafukara milele.
Kumekuwa na wimbi la wananchi wengi kulaumu upinzani kwa Kila uovu unaofanywa na ccm.
Wizi mkubwa na ufisadi ukifanywa na ccm wanaolaumiwa ni upinzani.
Kupanda kwa gharama za maisha au...
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania.
Habari Watanzania.
Dunia Sasa Ina lazimishwa kuwa na mwelekeo MPYA.
Na lazima iwe hivyo wakubwa(mashetani) wameamua hivyo na tutake tusitake ujinga huu ni lazima utokee, sisi jamii ya watz ni lzma tuwe na upande.
Eidha kukubaliana na haki za...
Wadau habarini
(1). aridhiano yanaendelea, Rais Samia ni mwelewa na msikivu huo ndio ukweli.
Tume huru ya uchaguzi itapatikana kabla ya 2025 na upinzani tutapata wabunge wengi na madiwani wengi sana lkn Urais bado utang'ang'aniwa na CCM hata kwa damu.
(2). Katiba Mpya inaweza kupatikana hata...
Nawasalimu wote
Leo nitawasilisha hoja yangu kwa njia ya shairi.
CHORUS
Tunakushukuru wananchi wanatuamini,
Jeshi la polisi tunaomba mtuamini
Usalama wa taifa tunaomba mtuamini
Ohoo ohooo CHADEMA
Wadau wa maendeleo mtuamini
Taasisi za kimataifa mtuamini
Taasisi za kidini na NG'Os mtuamini...
Habari,
Huyu mtu hakustahili kabisa kuwa Rais wa Tanzania ingawa alisukumiziwa kutokana na chama kile kukosa mwenye sifa.
Alikuwa mtu mwenye chuki za wazi, hakuwa mstahimilivu na asiyependa kukosolewa, hakupenda kushauriwa na yeyote na alikuwa na mihemko ya ajabu sana.
Alikuwa mropokaji wa...
Wakuu habari,
Miongoni mwa propaganda iliyopitwa na wakati lakini bado inatumiwa sana na wana CCM ni hii, kwamba upinzani ukichukua nchi utaleta machafuko.
Huwa najiuliza upinzani una nguvu sana na CCM wanalijua hilo ndio maana hutumia mbinu chafu dhidi ya upinzani Ili kujibakisha madarakani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.