hivi hawa 1st year wa udsm wamekakalilishwa na nani!? Coz kila m2 aliyepangiwa mabibo hostel anataka kuhamia main cumpus,hebu mjaribu kulizika na mlichopata afu hasa waliotoka private xul ndo wanaboa kinoma..aaaaah
jamani kweli anaitwa arafa sasa hivi nimetoka kumtafuta google..dah yani kuna watu wamechaguliwa madicine na wamesoma gvnt wamekosa mikopo af yeye....my godness kweli kikulacho kipo nguoni mwako
jamani mimi ni mwanafunzi,malengo yangu nije nisome shahada ya PUBLIC RELATION AND ADVERTISING bt sijajua exctly ukiachana na uhusiano je oppotunity gan nyengne unaweza ukafit.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.