Aisee kwahiyo ili waonekane wao sio maskini ni kujiunga na maandamano? Tanzania ni nchi maskini,je umaskini umesababishwa na watanzania kutoshiriki maandamano?
Kwanza kabisa nianze kwa salam na kumshukuru Mungu kwa kuweza kutupa uhai pamoja na changamoto tunazo zipitia wananchi wa Tanzania.
Lakini pia naomba kukupongeza sana Mh. Mtatiro kwa kuteuliwa tena na Mh. Rais kua mkuu wa wilaya ya Shinyanga. Najua na kuamini utendaji kazi wako ndiyo msingi wa...
Nakuita tenaa Paschal ...narudia tena Paschal au Mayala.NI kipengere kipi kinasema kua ili kugombea Urais wa JMT lazma mtu awe na elimu ya masters?
Paskali....Katiba imeweka wazi kua chama kitakacho pata wabunge wengi ndicho kitaunda au ndicho chenye mamlaka ya kuunda serikali.Sasa ebu tuambie...
Hayati Mh.Mwinyi kuzikwa Zanzibar ni kuepusha shari na maswali kuhusu Dr.Mwinyi ambae kwasasa ndiye amekalia kiti huku kwetu Zanzibar... maana sio mwanakwetu kwa uhalali bali nikwa hisia tu.
Kwamba ukikosea basi nasi tukosee....ujinga huo. Bunge na Rais wapo sawa maana huyo ni mstaafu kwahiyo protocol ipo hivyo. Huyu alikua mgombea wetu urais 2015 lakini tumefanya jogging na matembezi wakati wa msiba.
Ndugu wakati mwingine kusema ukweli ni vizuri sana.Tunaro tatizo moja ambalo linazidi kukididimiza chama naro ni kuamiani kua CHADEMA we are always perfect and right...hii ilikua kanuni ya Adolf Hitler. Tunapo kua mbele kuikosoa CCM basi nasi tukubali kukosolewa maana we are not smart like that...
CHADEMA wemefanya matembezi ya kufuraia kuruhusiwa kufanya mikutano wakati Taifa zima likiwa kwenye maombolezo ya kuondokewa na aliwai kua mgombea wa CHADEMA kiti cha Urais 2015 na waziri mkuu mstaafu hayati Edward Lowassa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.