Samehe tu acha yapite kama halijatokea jambo lolote, ukishindwa samehe lipiza mpaka kichwa chake kiwake moto.
Tukirudi kwenye swali lako taratibu za kufwata sizijui ila subiri watakuja kukuelekeza wengine, au tafuta mwanasheria/wakili utapata muongozo sahihi.
Uko sahihi kabisa, sema muda mwingine na nyie ma boss mnatuzingua sana vijana kutaka tuwe ma chawa wenu. Matatizo mnatengeneza wenyewe halafu mnatuangushia sisi hizo lawama sio sahihi kabisa.
Sawa mnatusaidia lakini msifanye kama fimbo ya kutupigia kwakua tuna shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.