Me nikajana ambaye nmemaliza chuo cha maji na ninauzoefu mzuri wa kufunga maji majumbani na kufanya tasmin ya uhataji wa mabomba na michoro ya nyumba yako pia ninafanya marekebisho madogo madogo katika maeneo yote yenye mabomba.
Karibuni sanaaa
Tukutane hapa wanazengo tunaotumia YouTube kujiingizia kipato na ww unaependa uweze jifunza kwa namna moja ukiwa interest unaweza Fanya na wewe!
Me nimeangalia jamii sjaona group kama hili nikaona nianzishe naweza pata wemzangu na mm wanaotaka kuja na kujifunza zaidi kuhusu YOUTUBE ACCOUNT
so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.