Ni kweli bibie ni ushamba tu ndio maana hawatumii hellicopter eti eeeh.........si ndio maana ni ushamba tu kutumia magari kama ambulance ndo mana tumetumia bajaji kama ambulance eeeh si unajua nchi nyingine zilizoendela bajaji zinafanya vizuri sana eeh. Ni ushamba kwa waziri kutembelea landrover...
Matumizi ya helkopta yanayo fanywa na vyama vitatu vikubwa hapa nchini yanathibitisha kuwa miundo mbinu ya barabara ni mibovu. katika kuthibitisha hili je kampeni za dar es salaam hufanywa kwa helkopta katika kata zake??? Hii ni aibu pia kwa chama tawala kuiga matumizi ya helkopta kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.