Vyama vyote vina mechanisms vinaweza kuongoza nchi, wanasiasa ni wachache kuliko Raia wa ujumla, wataalam wapo wa kila sekta sio lazima wawe ktk vyama, kikubwa ni kutengeneza sera zinazoeleweka, kutekelezeka na kuzisimamia
Wakati tukisubiri kufukuzwa bungeni na Spika Ndugai kwa maelekezo ya bosi wake, na wakati tukisubiri dhahama ya Bwana Mkubwa nje ya Bunge, hebu na tujiulize hivi nani hasa ndiye mzalendo wa kweli wa nchi hii???
Kweli kabisa CCM hawawezi kuliongelea kwa kua ni wanufaika, mimi na wenzangu ni wahanga wa hili jambo kupitia kampuni ya New Habari inayomilikiwa na kada rafiki wa Magufuli Rostam Aziz na kusimamiwa na Hussein Bashe, Wanakata michango ktk mishahara lkn hawapeleki NSSF tumezungushwa sana hili...
CCM na ufisadi vimeshikamana, mimi nikiwa muhanga wa Kampuni ya New Habari iliyo chini ya Naibu Waziri wa Kilimo Bashe na kumilikiwa na mwana CCM na rafiki wa Magufuli Rostam Aziz imedhulumu haki zetu na kuvunja sheria za nchi kwa kutokupeleka Michango ya hifadhi ya jamii, pamoja na kulalamika...
Asante kwa ushauri lakini kwa Waziri tulishafika hakuna kinachofanyika nguvu ya Waziri imekua ndogo kwa hao wakubwa, tunaumia zaidi kuona mmiliki anaweza kutoa msaada hadi Bilioni moja lakini pesa ya michango yetu hana nayo muda, kwakua Rais hao watu anawamudu atuombee wapeleke michango ya...
Natanguliza zangu nyingi shukrani kwako Mh Rais kwa mengi unayofanya kwa ajili ya Wananchi wako, pamoja na hayo kuna mambo mengi aidha watendaji wako hawakuambii au wao ni sehemu ya uozo huo.
Yapata miaka zaidi ya miwili tunahangaikia kufuatilia pesa za michango yetu ya hifadhi ya jamii ambayo...
Uchaguzi ni takwa la Kikatiba, tukiangalia mtu akae madarakani kwa vigezo flani flani haiwezi kuleta maana wala ufumbuzi, mfano wewe umemuona kafanya vizr sekta flani, Je sekta ambazo kafeli atafutwe Rais mwingine awe msaidizi ili afanye hizo sekta nyingine? TUHESHIMU KATIBA NA TUWEKE MAPENZI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.