Mwigulu ataonewa bure. huyo ni msomaji wa bajeti tu. hii nchi sasa hivi inaongozwa kwa maelekezo kutoka unguja. Yaani kama vile magufuli alivyowekeza chato ndivyo sinavyotafutwa pesa za kuwekeza unguja.
Hii lending model ya Mabank ya Jumla na Rejaleja ni porojo mkuu
Tena unakoaea kuihusisha na Finca, unapoint juu ya watu kutokuelewa hiyo Bank ya kilimo inavyofanya kazi, ila sio namna unavyoelezea.
kanistua msigwa
Anadai serikali inakopa commercial hata inalazimika kuanza kulipa kabla mradi haujakamilika
What a stupid finance strategy.
Hiyo mikopo ichunguzwe isijekuwa na ma commission kama ya kina Kitilya.
Watu aina ya msigwa ndio wanaopaswa kutuongoza watanzania ktk dhama hizi ambazo mataifa yanaweka nguvu kubwa kwenye ushindani wa kibiashara.
Kawachallenge kuhusu umeme
Anadai Tatizo letu sio upungufu wa umeme, umeme tunao wa kutosha, tatizo ni kuuhamisha kutoka uliko uende kwa watumiaji...
Tuna watu wana vichwa vizuri sana hii nchi, msigwa ni mmoja wao
Uwezo wake wa kuchambua na kuelezea mambo uko juu Sana.
Lakini haya mambo ya kuchukia watu sababu wanalipwa mishahara mikubwa hawakuanza hao jamaa wa milioni tisini, alianza mheshimiwa rais na wengi walimshangilia wakati huo huo...
Huu ushauri uzingatiwe. Nimeona hata mgogoro wa NATO na Turkey baada ya Turkey kutangaza kununua dege la kivita toka Russian umejikita kwenye infrastructure compatibility
Hivyo hiyo heterogenious fleet ipingwe.
Ndugai awe makini sana, akumbuke ubinaadamu wake sasa, sasa akumbuke kuna Mungu sasa.
Na atumie akili sasa, hayo Maneno amesema huyo ndugu wa lissu, kwamba wanafamilia wako Tayari kumkosea Lissu na sio yeye Ndugai ni malalamiko kwenda kwa Mungu hayo. Malalamiko ya namna hiyo huistua Mbingu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.