Dalali yoyote mwenye vyumba vikali (vina maji,umeme, security,gypsum/selingbod nzuri, karibu na barabara) maeneo ya ubungo external, mwananchi, Tabata na sehem yoyote iliyopo karibu na centre ya jiji bei isiyozid 50k. Ani DM
Habari wakuu,
Kama kichwa cha uzi hapo juu naomba kujuzwa ni mitaa gani hapa Dar es Salaam yenye shida ya maji? Naomba wadau kama mnajua sehemu ambazo maji ya kutumia (maji baridi) ni shida kupatikana kiasi cha kuwa wananunua kupitia yale magari yanayouza yale. Ningeomba hata bei wanazonunulia...
Habari wakuu, awali ya yote nitangulize shukrani kwa jibu au comment yoyote utakayoitoa.
Kama kichwa kinavojieleza,
nina wazo langu kubwa la kuja kuweka camera yaan (CCTV camera) kila sehemu ya nyumba yangu nitakayoijenga. Nafikiria Sana kuweka camera chooni na bafuni na kwa watoto wangu mana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.