Naiita CCM ni recycle bin sababu kila siku inaingia kwenye "PIPA la taka" na kuona "takataka" gani waliiweka mle na wairejeshe kwenye desktop iweze kuonekana.
Hizo "takataka" zinazoibuliwa kila siku hakuna zinazofanya zaidi ya kujigamba wao ni Watoto wa mjini.
Control number unalipia. Kisha unaambiwa Ili iende haraka utoe pesa. Usipotoa inaenda kawaida.
Kama Brela ilinunua Online Registration System kwa 2.6 bilioni na service fee 600m kila mwaka kwanini haifanyi kazi automatically?
Ni uhuni na tamaa tu. Ndio mtu akiona muda unazidi kwenda na hao...
ni sahihi kabisa, ina maana hawa washenzi kwa siku kila mmoja anaweza kusanya hadi milioni 2, akipata wateja 10 wa 200000 kwa siku.
mimi nitataja hapa namba ya lipa namba ya mmoja wao kesho au leo usiku ili miamala inayoingia ifuatiliwe.
hata simu zao zikifuatiliwa, uzuri unaongea na kubargain...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.