Habari wana JF,
Mimi nina kijana mwenye umri wa miaka 14 na anasumbuliwa na vipele mwilini kwa zaidi ya miezi miwili.
Nilimpeleka hospitali na majibu yakaja kuwa ana fangasi katika damu na kuandikiwa dawa za kumeza griseofulvin kwa mwezi mzima (30days).
Leo ni siku ya 26 lkn bado tatizo liko...
Habar wana jf na wataalam wa afya kwa ujumla.
Nina mgonjwa kwa miezi 3 amekuwa akigugumia maumivu bega la upande wa kulia. Naomba ushauri wenu please kwani nimejaribu sana kumpa mazoezi ya kawaida na massage lakin juhudi hazijazaa matunda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.