Hapo pagumu mno!
Pesa ni kama chakula ama maji ya kunywa japo tofauti yake ni kidogo
Pesa imekuwa hitajio la kila siku kwa mwanadamu ili kutimiza mahitajio ya kila mmoja wetu.
Ni ujinga
Na mtu yeyote anaweza kuwa mjinga katika jambo fulani na si kosa!
Tatizo litakuja pale 'mjinga' huyo atakapo elimishwa na akakaendelea na msimamo wake na matokeo yake atakuwa 'mpumbavu'
Habari wana JF,
Mimi nina kijana mwenye umri wa miaka 14 na anasumbuliwa na vipele mwilini kwa zaidi ya miezi miwili.
Nilimpeleka hospitali na majibu yakaja kuwa ana fangasi katika damu na kuandikiwa dawa za kumeza griseofulvin kwa mwezi mzima (30days).
Leo ni siku ya 26 lkn bado tatizo liko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.