Nina app ya jamii forum na nilishawai kujisajili tena vizur san lakn kutka na sim yangu kuibiwa nikanunua sim nyinge kwhio nakainstal tena upya app ya jamii forum lkn kuna tatzo linanitkea kila nikijisajili unagoma kwa madai kua akount yangu haijulikan nimesharest mara nying san had nywila lkn...
ndugu zangu naomb kujua kam ni kweli majina yametolewa na body ya mkopo kwa waliojaza fom vbya na kam kuna taarfa zaid kuusu body ya mkopo naomb tujulishane
Mwenye FA ni nguma kupass make kweny principal ya tcu wamewek A_E kwhio ndan ya A-E unatakiwa uwe na uwezo wa kupta cuting point kuanzia nne katka masomo mawili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.