Yaani Mimi nisikilize huo uchafu?! Labda wale wanaomini maisha Yao ya naweza kusaidiwa na hilo bunge kibogoyo. Watu wa huko vijijini na wazee wanaosikiliza TBC tu ndio wana muda wa kusikiliza hilo bunge.
Lisu aliposhambuliwa kwa risasi Kuna kamati ya bunge iliundwa kuchunguza tukio lile. Lakini Magufuli alalikataza bunge kusoma ripoti ile. Sasa Leo tume ya kuchunguza kifo chake ni ya Nini wakati hakuwa muumini ukweli na haki?
Hukuwa unasikia yule professor alivyokuwa anaongea kiingereza Cha ajabu kwenye ile mahakama ya kimataifa? Ama hujui tulipigwa fine nzito kwa kuchezea mikataba ya wanaume?
Sukuma gang naona hamkubali kuwa game Lenu limeisha. Yaani hao wanaccm wote walioko kwenye ngazi za utendaji wameshindwa, ila kwenye ziara za kina Makonada na Hawa matapeli wengine ndio matatizo yao yaishe? Mmeansa hadaa za lampeni Sasa mnaleta vita yenu ya sukuma gang na msoga gang. Hakuna...
Sawa kabisa, maana huyo Luhaga anataka kutuaminisha Magufuli alikuwa mtu msafi, hivyo kifo chake pekee ndio Cha kuundiwa kamati. Ikiundwa kamati kuchunguza vifo vyote vyote wakati wa Magufuli, Nina hakika Kinga dhidi ya Marais itaondolewa kwenye katiba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.