Guys naona hamjamuelewa dogo! Kabla ya hapo inaonyesha alikuwa akikaa geto na wadau/kaka/mama/etc sasa hivi anasema ana kwake si lazima nyumba iwe yake hata ukipanga nyumba nzima utasema kwangu...maana naona watu kule insta na hpa ni full povu! Low #iq#
Hebu naomba tuwekee hapa huo uchochezi uliofanywa na hivyo vyombo vya habari na tueleze unahatarisha vipi usalama wetu sisi wananchi maana eneo ninaloishi wote wanashanga ni vipi usalama wao umehatarishwa!!
Mi nadhani tuungane na jeshi kwenye huo usafi tanzania nzima humo humo tunayajenga na makamanda inakuwa maandamano tunaibua tshirt na mabango nina uhakika ffu hawatatia mguu kwenye huo msafala! Nna uhakika makamanda nao wanasapoti ukuta ...just a dream.
Nilikuwa naenda mbeya njia nzima nimekutana na maandamano ya ffu yote eti kuwatisha wananchi..wasilolijua ni kuwa hata wale ambao hawakujua ukuta wanapata elimu maana walikuwa wanauliza kulikoni hii misafara ya ffu then wazalendo tulio jirani tunatoa darsa nini ccm na hao police wanafanya
Kula like mkuu dogo hata kipindi kile yupo yanga tovuti ya yanga ilikuwa update daily! Toka kaondoka yanga haipo digital media sijui hata kama tovuti inafanya kazi! #Kizuguto#rudi#Yanga#
Sisi kama wanachama tumetapeliwa nini? Miaka yote huko nyuma sijawahi kufaidika hata na kitu chini ya hao viongozi! Furaha/faida ya mwanachama yeyote wa klabu ni matokeo no matter timu inaendeshwa na nani! Watakao umia ni wale waliokuwa wanaishi kutegemea klabu najua watafungua sana kesi mwaka huu
Katika wanachama walio makini ni Yanga! Jamaa atakodishwa timu ila ili mkataba udumu inabidi timu iwe na mafanikio miaka yote hiyo kumi otherwise kama hakuna mafanikio wanachama wa yanga wataweka kambi pale quality group na mwenyewe atarudisha timu!!
Mkuu umbali si issue hata sisi wa Mwanza na Dar wakati stand inahama mnazi mmoja tulilia sana kusema ubungo toka mbagala ni mbali na ile kwenda nyegezi tuliona ni ngumu lakini now days tuko poa tu! Cha msingi ni kuboresha usafiri tu
Ha ha haaa tena atalimeza gari na abiria wake! Kama naweza mchoma kwa kisu vipi iweje vyuma na mabati ya hilo basi!! Movie za kale hizo dunia ya sasa watu wana uelewa mkubwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.