Sisi hatukufanya makosa kuitikia wito wa kusajili lain zetu kwa alama za vidole
Ila makosa yanafanywa na mawakala ambao mmewaamini na kuwapa dhamana ya kutupatia huduma hiyo wananchi
Wana dumplicate data za mteja wa awali na kuzitumia data hizo kuwasajilia wateja wengine sim card huku...
Uzi special wa kutafuta birth day partner wako mnao share pamoja siku na tarehe ya kuzaliwa hapa JF
Mimi leo ni kumbu kumbu ya siku yangu ya kuzaliwa tareh 7/4
Hivyo Mimi ni April guy
Miezi 3 iliyopita nilibahatika kupata mtoto wa kike. Baada ya hapo sikuruhusiwa kulala na mke wangu kwa miezi mitatu mfululizo.
Ndani ya miezi hiyo yote mitatu mtoto alipelekwa klinic na uzito wake ulikuwa unaongezeka hadi mara ya mwisho kabla ya kuruhusiwa sisi kulala wote kwa pamoja rasmi...
LEO Hii December 8, 2019
Katk ulimwengu wa burudani kuna rumos nying zime tanda kwenye mitandao tofauti ya kijamii
Juu ya kifo cha rapper Jarad Anthony Higgins Maarufu kama JUICE WRLD tokea pande za U.S Chiccago je?? kuna ukweli wa taarifa hizo?
Miezi kadhaa iliyopita nilifanikiwa kupata manzi mmoja ya kishua flan hivii sio sanaa alitokea kunielewa sana kiac kwamba zawadi zikawa nying pesa na n.k kwa kua hali ya maisha yangu ni ya tia tia maji na safa kwa mtaa na dili za kuunga nikaona ni kama masihi amenishukia life lika anza kua...
Kwa jina naitwa Tyron goodluck Ni muhitimu wa VETA katika fani ya umeme wa majumbani domestic installation level two na Nna pass ya VC2
Piah Na Elimu ya cctv camera installation watu wa cctv camera surva'llance kama mpo tafdhar piah nanyi ombi hili mhusike nalo
Mimi ni mchapa kazi mzuri...
HABARI ZENU WANA JF
Kwa Majina Naitwa Tyron goodluck
Mwanzoni mwa Mwaka huu 25/1/ 2019
kuna msichana nilimpatia Ujauzito
Hivyo Nime mlea na sasa yuko ktk hatua zake za mwisho tayr kwa kwenda kujifungua
Shida yangu Ni kwamba Nilikua Naomba kufahamishwa kiasi cha fedha ambacho Uwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.