Tunapolizungumza suala la kusini na matokeo ya vurugu hizi ni lazima tulizungumze katika fikra pana zaidi.,kwa namna ya matokeo yanavyotokea naliona tatizo la kusini ni zaidi ya bomba la gesi,.naliona kuwa ni hasira za watu hao ambao zilikuwa zimezikwa kwa muda mrefu.,naona kuwa ni mlango...
Matukio ya vurugu na msuguano mkubwa unaondelea hivi sasa kati ya raia na wananchi katika maeneo mbalimbali ya nchi kama vile morogoro, mtwara, dar n.k ni ishara kuwa sasa nchi inatapika.,jamii inatapika chakula cha sumu ambacho ililishwa takriban miaka 50 iliyopita, ambapo sumu hii imeendelea...
Ukweli ni kwamba Shibuda hakuchaguliwa na wafuasi wa CDM...alichaguliwa na wana Maswa wanaomkubali Shibuda kama Shibuda na sio Shibuda wa Chama fulani cha siasa...Shibuda hata akitoka CDM leo bado wana Maswa watamchagua tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.