I declare the interest: sina itikadi yoyote ya chama, nabaki kuwa mzalendo na mpiga kura
Utangulizi; kumekua na zoezi la usitishwaji wa mikataba baina ya serikali na kampuni mbalimbali za nje mf. China, kwa mapendekezo kuwa terms za mikataba hiyo ni ngumu na za kinyonyaji.
Swali la msingi; 1...
Nina akaunti (ya biashara) katika benk fulani, nmekua nkipokea email zenye kunitaarifu nmeweka password isiyo sahihi ama nmejaribu kubadili password. Nilipowaeleza benki husika hakuna msaada wowote wa kitaalamu. Hivyo niliamua kutoa pesa zote na kuamishia kwenye account ya benk nyngne (ya...
Kwa kauli za wabunge wawili wa kenya juu wa watanzania waishio kenya kupata nafasi ya kufanya biashara mf. Kuuza matunda/maduka, wakenya waishio tanzania kukosa ajira.... inaonekana kuna mgongano wa kimaslahi kati nchi hizi mbili. Hii ni kwa raia mmoja mmoja, makubaliano ya kiserikali, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.