Search results

  1. omtiti

    Mwambieni Kinana wanauza mazao nje ya nchi si wakulima ,ni wafanyabiashara

    Ifahamike mazao hulimwa na wakulima kisha kulanguliwa na wafanyabiashara, tena yakiwa shambani na kwa bei ndogo sana. Kinana aambiwe ya kwamba lazima tuwe na utaratibu wa kuuza nje na kuingiza bidhaa ndani ya nchi, lengo ni kumlinda mlaji. Mfano kwa sasa mchele umepanda bei kwa sababu soko...
  2. omtiti

    Migogoro ya ardhi ilitulia sana awamu ya tano na nimpongeze Lukuvi, awamu hii ya kina Ridhiwani mbona kasi ya migongano inazidi?

    Ukweli lazima usemwe awamu ya tano ilijitahidi sana kushughulikia migogoro ya ardhi kwa kiwango kikubwa sana na pongezi zimuendee hayati Magufuli pamoja na wasaidizi wake hasa waziri Lukuvi na timu yake yote ya wizara ya ardhi. Mipango yao ilikuwa mizuri na yenye ufanisi hasa walipobuni ule...
  3. omtiti

    Dar: RC Makalla akiwa na mfanyabiashara, amesimamisha uchimbaji kokoto machimbo ya Boko

    Nimekuona ukiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe askari pamoja na mfanyabiashara mwenye asili ya Kiarabu. Umezungumza na wachimbaji hao kwa lugha ya vitisho ukiwaambia waondoke eneo hilo ndani ya wiki na ukiwauliza nani anayebisha, wakanyamaza, kisha mfanyabiashara huyo...
  4. omtiti

    Mbowe kwanini unaivuruga CHADEMA?

    Ni kuombe uwe muwazi kabisa juu ya hili sakata la kina Mdee,kifupi unalijua kiundani na wewe ndio master mind. Unajifanya uko serious na hutaki mzaha lakini wabunge hawa wanabaraka zako . Nakumbuka 2015 ulianza kuiharibu CHADEMA kwa kumleta Lowassa. Kifupi wewe siasa zako si za kuisaidia nchi...
  5. omtiti

    Rais Samia anadanganywa sana. Anapanga safu ya mstaafu bila kujua

    Ukiangalia mabadiliko aliyoyafanya ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu wa wizara amefanya kwa kudanganywa. Si kweli kwa maoni yangu kwamba Proffesor Palamagamba, William Lukuvi, Goefrey Mwambe, Kitlya Mkumbo, na Mwita Waitara ndio tishio na wanajipanga kwa urais 2025. Kwanza kuutamani...
  6. omtiti

    Rais Samia na hili la mfumuko wa bei ulilolikalia kimya nalo ni tatizo la awamu zilizopita?

    Kwa mara ya kwanza nimeona unajihami kwa kusema matatizo ya awamu zilizopita yanaangushiwa awamu yako hivyo hutakubali ,na utasimama upande wa wananchi. Swali langu kwako ,hili la mfumuko wa bei,kupanda holela kwa bidhaa karibu zote nchini nalo umeangishiwa jumba bovu? Awamu iliyopita ,ya...
  7. omtiti

    Mkurugenzi mkuu wa Tanesco, Maharage Chande "watch out"

    Nimekusikiliza kwa makini sana ukijibu maswali ya mtangazaji wa AzamTV, Charles Hilary taarifa ya habari saa mbili usiku leo kuhusu kukatikakatika kwa umeme nchini ,umepwaya sana katika majibu. Inaonekana hujui tatizo hasa la kukatika umeme ghafla baada ya hayati Magufuli kufariki na kuondolewa...
  8. omtiti

    Kuna Mtanzania bado anaamini nchi hii ni masikini na inahitaji misaada zaidi kujikwamua?

    Nawauliza Watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono? Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini, ina kila aina ya...
  9. omtiti

    Nimeamini matusi ,kejeri ,dhihaka na dharau zilizoporomoshwa kwa hayati Magufuli zilitoka kwa wana CCM wenyewe

    Kwa Sasa jukwaa limejaa mapambio na sifa zisizostahili hata kidogo ,ili mradi kukomoa wafuasi na mashabiki wa late Magufuli. Si Twitter, Facebook, matusi hayapo,kilichobaki ni kusifiana na kupongezana,haya nayo yana mwisho
  10. omtiti

    Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu

    Ukifuatilia kwa makini na tafiti zisizo shaka utagundua ya kwamba watu wanaotokea Kanda ya Ziwa ni wakarimu sana, wapole na hawana makuu, kadhalika hawajui kabisa majungu na unafiki hawana tamaa. Hii ndio maana taifa letu miaka yote limeendelea kuwa calm sana, pamoja na mashambulizi ya kila...
  11. omtiti

    Sitegemei CHADEMA na Wanaharakati wenye mirengo ya kisiasa wanaweza kumchonganisha IGP Sirro na Rais Samia

    Matamshi aliyoyatoa Simion Siro wakati wa kuaga miili ya askari waliouwawa wakitimiza majukumu yao na mhalifu Hamza yalikuwa sahihi kwa asilimia zote. Ni kweli katika dunia ya leo yenye changamoto nyingi za uhalifu hasa wa kuvizia, polisi wanatakiwa kuwa makini na baadhi ya raia mithili ya...
  12. omtiti

    Inasikitisha sana genge la mitandaoni kujiita Watanzania wote 60 milioni kisha kumuendesha Mkuu wa Nchi watakavyo

    Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users walioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya Watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyanzo vyote vya taarifa...
  13. omtiti

    Kama hili lina ukweli basi Uhuru Kenyatta ni noma sana, kwa sasa anachekea tumboni tu

    Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa. Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu...
  14. omtiti

    Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

    Akiwa 360 Clouds ameliongea hili leo na yuko live mpaka sasa, anasema tatizo lipo kwenye uongozi. Amesema wanachama wa chini kabisa hawana tatizo kabisa, matumaini yao yanaharibiwa na uongozi wa juu. Angalizo: Mbowe uongozi wako umeshindwa vibaya sana, achia ngazi ======= “Nilipoenda nchi ya...
  15. omtiti

    Hivi nani waliokuwaga nyuma ya mauaji ya ndugu zetu Albino awamu ya nne?

    Nakumbuka kipindi cha serikali ya awamu ya nne yalikuwepo mauaji ya ndugu zetu Albino kwa wingi sana ,ikiwemo na vikongwe. Hii ilipelekea aibu kubwa sana kwa taifa letu kwenye uso wa kimataifa, nakumbuka jambo hili lilimkera sana aliyekuwa waziri mkuu Mizengo Pinda mpaka ilipelekea kulia...
  16. omtiti

    Kwa mwenye ufahamu apite hapa kuhusu hili la Joe Biden, Rais wa Marekani

    Chanjo ilitolewa duniani, na kuna baadhi ya viongozi mashuhuri duniani tuliona hadharani wakichanjwa kama kuonyesha umuhimu wa chanjo na uwajibikaji pia. Ninavyofahamu mimi layman katika masuala ya afya ni kwamba chanjo ni kinga dhidi ya tatizo husika, ikiwa na maana ukichanjwa unakua umepata...
  17. omtiti

    Uchaguzi 2020 Mapendekezo, maoni, ushauri kwa CC ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu hususani Jimbo la Kigamboni

    Kama mwana ccm mkereketwa naomba uongozi wa juu hasa kamati kuu ya ccm, ambayo itahusika na uchujaji wa majina ya wagombea watakao peperusha bendera ya ccm kwenye uchaguzi mkuu October mwaka huu kwa nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni yafuatayo Nashauri na kupendekeza Jina la Makonda ndio...
  18. omtiti

    Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

    Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa Oktoba utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo. Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi. Uchaguzi huu ndio utakuwa mkali kuliko chaguzi zote nchini...
  19. omtiti

    Mheshimiwa Rais, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa unyeyekevu mkubwa hivi mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (WCF) ni chanzo cha mapato ya Serikali?

    Salam kwenu vionngozi wangu, imani yangu hamjambo na ni wazima wa afya. Naleta malalamiko juu ya mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (WCF)ambao upo chini ya ofisi ya waziri mkuu, ikiongozwa na mama Jenista Mhagama (Ajira Kazi na Wenye Ulemavu) Hii ni baada ya kufanyia marekebisho sheria ya fidia kwa...
Back
Top Bottom