Bwana mdogo, hayo ni mapepo.unamilikiwa na mapepo,majini mahaba.Tafuta huduma ya kiroho yenye nguvu ufunguliwe.unaweza dhani ni matatizo ya kisaikolojia ama hivi ama vile but believe you me, you have been possessed by demons.Ni Yesu Kristo peke yake ndio anaweza kukufungua na kukuweke huru...
Ndugu zangu hata mimi nilikuwa na mawazo na kejeli kama za akina 'Englibertm' na 'The Boss' Lakini siku yangu ilipofika kweli nilijua kuwa YESU NI BWANA NA HABADILIKI.YESU aliyeponya watu waliogusa pindo za nguo yake,Hata leo anaponya.YESU aliyeponya kupitia kivuli cha mtume wake hata leo...
MWALIMU avae tena uniform? Kilanja mkuu na wanafunzi ndo wanavaa sare..., Siku hizi mwalimu kama mwanafunzi,kiranja mkuu hana sauti mbele ya mwanafunzi fedhuli na mtoro... Waache wote wavae uniform!
Salaam ewe mheshimiwa! Pole kwa majukumu (yako pamoja na ya wale wanaolala na kukusubiri ufikirie badala yao). Treni la mjini aka treni la Mwakyembe lishaanza kuboa wateja hasa wa maeneo ya kariakoo na maeneo jirani maana linatoka posta limejaa pomoni na kutuaacha 'wananchi' macho kodo. Dereva...
Pole sana giLEsi. Ni kweli kuna ulimwengu usio onekana kwa macho na ndio wenye nguvu ktk maisha yetu. ndoto hiyo ina uhusiano na ulimwengu huo (wa roho).mimi bado ni mtoto na msaada wangu pengine ni kukwambia fanya maombi ya rehema kama walivyo shauri ndugu na ukiweza hudhuria mafundisho ya...
'Wedha' o not kwao ni wachawi au yeye ndo mchawi zote sio hoja,hoja ni 'MKE MWEMA HUTOKA KWA BWANA'. Mwombe sana Roho Mtakatifu akuoneshe mke wako mwema,wala usilazmishe awe yeye. UCHAWI NI ROHO CHAFU ZILIZO FUKUZWA MBINGUNI. Roho hiyo ya uchawi huwa inarithishwa kizazi mpaka kizazi.CHUKUA...
Mungu ana makusudi yake kukufanya ujue UCHAFU huo.ni juu yako sasa kuishi katika uchafu huo ama kuukimbia. Mmekuwa mkiishi ktk zinaa(ambayo ni chukizo kwa Mungu) lakini bado Mungu amekuonesha wema wake. Usipo tubu na kimbia tena bila kutizama nyuma basi LAANA YA MUNGU unaikaribisha wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.