Athari zake zitakuwa kwenye familia na jamii inayonufaika na jasho la Mgunda.
Bado wa Tanzania tunaishi maisha ya kumtemea mjomba, shangazi aliyepo Daithalamu.
Ufafanuzi kuhusu hizo sayari zilipo tafadhali.
1.Je, ni juu, chini au pembeni ya dunia?
2.Je hizo kubwa kuliko dunia nikumaanisha kuwa dunia imo ndani ya hizo?
3.Kuna mchangiaji alisema ukiwa ukitaka kwenda kwenye mwezi unapanda juu lakini tena ukiwa mwezini ukitaka kwenda duniani unapanda...
Hata Mimi nahisi kitu humu. Bosi hakwenda kuchukua mauzo kama ilivyozoeleka.
Tapeli alijua kabsa kuw kesho yake akituma msg yakutumiwa pesa bosi atakuwa bado hajafika pale bar kuchukua pesa za mauzo.
Yote kwa yote tapeli akikuamulia atakupiga then wengn tutabaki kujifunza kupitia wewe.
Salaam kwenu, kama kichwa cha mada kinavyosomeka.
Mimi ni mwajiriwa ambaye naweza kudhaminiwa namwajiri wangu kupata mkopo benki. Mwaka huu natamani nikajiendeleze kimasomo katika moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa nchini.
Kutokana na kwamba sitamudu gharama za masomo nataka kuomba mkopo...
Wakuu salaam.
Nimeomba kujiunga na chuo kikuu Dodoma. Tangu tarehe29 hadi leo sijatumiwa cotrol number ili niendelee na mchakato. Nimepiga namba zao ila bado sijapata msaada.
Kwa mweny uwezo anisaidie tafadhali.
Huku kwetu kijijini mzazi ambae nimkulima akigundua watoto wake niwazuri kwenye kula ugali lazima aongeze ukubwa wa shamba analolima mahindi.Shamba lazima liwe kubwa kuendana namahitaji ya chakula kwa watoto wake.
Nani wakuhudumia hili shamba hadi mahindi yavunwe? Ni hao hao watoto wake...
Huku kijijini Rondo nibaridi bado.
Ngoja niandike haraka asinione.
Hapa nyumban tunaishi wawili mimi na mke wangu.
Alikuwa na tabia yakukagua sana simu yangu nikaamua kuipiga password. Mimi simu yake huwa sishiki japo alikuwa anaicha bila password.
(Hapa niwe mkweli kdg, nilikuwa namvizia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.