Search results

  1. sepema

    Ni ipi siri ya kufumba macho wakati wa maombi?

    Nadhan ukiomba gizani haina haja ya kufumba macho. Ingia chumbani kama ni usiku zima taa then omba utakacho
  2. sepema

    Hongera Simba kwa kumpa Mgunda timu kama Kocha Mkuu, apewe mshahara mnono na siyo kutumiwa kama njia ya kubana matumizi

    Athari zake zitakuwa kwenye familia na jamii inayonufaika na jasho la Mgunda. Bado wa Tanzania tunaishi maisha ya kumtemea mjomba, shangazi aliyepo Daithalamu.
  3. sepema

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    Nawatakia Dominica njema. Iwe Dominica njema kwako pia.
  4. sepema

    Ijue sayari ya Jupiter kwa uchache

    Ufafanuzi kuhusu hizo sayari zilipo tafadhali. 1.Je, ni juu, chini au pembeni ya dunia? 2.Je hizo kubwa kuliko dunia nikumaanisha kuwa dunia imo ndani ya hizo? 3.Kuna mchangiaji alisema ukiwa ukitaka kwenda kwenye mwezi unapanda juu lakini tena ukiwa mwezini ukitaka kwenda duniani unapanda...
  5. sepema

    Jinsi counter wa baa alivyoibiwa pesa

    Hata Mimi nahisi kitu humu. Bosi hakwenda kuchukua mauzo kama ilivyozoeleka. Tapeli alijua kabsa kuw kesho yake akituma msg yakutumiwa pesa bosi atakuwa bado hajafika pale bar kuchukua pesa za mauzo. Yote kwa yote tapeli akikuamulia atakupiga then wengn tutabaki kujifunza kupitia wewe.
  6. sepema

    Time inaenda slow kinoma leo

    Nikwel mkuu. Nimelal sa4 usingiz nimeenda nao had nikahis nimechelewa stend(nasafiri).Kuamka nacheki saa ni saa8 ucku
  7. sepema

    Mauzauza ndani ya msitu wa Shengena uliopo Wilayani Same

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. sepema

    Naomba ushauri: Niombe mkopo benki nikajiendeleze kimasomo au niombe mkopo kwa bodi?

    Nataka nichukue ya miaka yote ibakie namna yakuilipa tu
  9. sepema

    Naomba ushauri: Niombe mkopo benki nikajiendeleze kimasomo au niombe mkopo kwa bodi?

    Shukrani mkuu. Hata mim naon bora wanikate nikiwa chuo ili nikirud uraiani nianze upya
  10. sepema

    Naomba ushauri: Niombe mkopo benki nikajiendeleze kimasomo au niombe mkopo kwa bodi?

    Salaam kwenu, kama kichwa cha mada kinavyosomeka. Mimi ni mwajiriwa ambaye naweza kudhaminiwa namwajiri wangu kupata mkopo benki. Mwaka huu natamani nikajiendeleze kimasomo katika moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa nchini. Kutokana na kwamba sitamudu gharama za masomo nataka kuomba mkopo...
  11. sepema

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo ushetu nije Arusha, K/njaro au Tanga(wilaya yoyote) 0746754573 Idara: Msingi
  12. sepema

    Msaada; Nina siku5 sijatumiwa conrtol number naUDOM

    Wakuu salaam. Nimeomba kujiunga na chuo kikuu Dodoma. Tangu tarehe29 hadi leo sijatumiwa cotrol number ili niendelee na mchakato. Nimepiga namba zao ila bado sijapata msaada. Kwa mweny uwezo anisaidie tafadhali.
  13. sepema

    Kodi na tozo; tumetaka uzuri tukubali tudhurike.

    Huku kwetu kijijini mzazi ambae nimkulima akigundua watoto wake niwazuri kwenye kula ugali lazima aongeze ukubwa wa shamba analolima mahindi.Shamba lazima liwe kubwa kuendana namahitaji ya chakula kwa watoto wake. Nani wakuhudumia hili shamba hadi mahindi yavunwe? Ni hao hao watoto wake...
  14. sepema

    Password zanini wakati tunaishi wawili?

    Yaan nawaz kwel mkuu
  15. sepema

    Password zanini wakati tunaishi wawili?

    Huku kijijini Rondo nibaridi bado. Ngoja niandike haraka asinione. Hapa nyumban tunaishi wawili mimi na mke wangu. Alikuwa na tabia yakukagua sana simu yangu nikaamua kuipiga password. Mimi simu yake huwa sishiki japo alikuwa anaicha bila password. (Hapa niwe mkweli kdg, nilikuwa namvizia...
Back
Top Bottom