Mapambano yanaendelea. Tumeweza kuwaamusha watanzania.
Sasa hatua inayofuata ni kuanza kuwafanya watanzania waanze kutumia uelewa wao na kuweza kufanya uwekezaji mkubwa.
Kupitia thread hii tayari tumeweza kuichangamsha serikali na kuwaonensha Watanzania namna walivyo na uwezo.
Kwa sasa wakenya...
Guys. Nimerudi sasa humu.
Tangu tuanze kupambana na hawa jamaa. Naona sasa wamelegea.
Nimekaa huko kwa muda. Nimeyaona mengi na kuyajua. Tumewapita mbali sana. Wakenya wanashida mno.
Nimetazama hii picha mpaka nimetoa machozi. Wakenya wanapata shida sana. Ningekuwa na uwezo ningewahamisha wote na kuwaleta Tanzania, nchi iliyoteuliwa na Mwenyezi Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.