Mimi nawaambia wachafu wote, kuna nyuzi imo humu inauliza eti ni sawa mwanaume kunywa juisi kwa mrija?
Nakemea mambo kama hayo mimi usiseme kama shemeji yako ni mchafu
Kumekuwa na tabia za wanaume hasa hawa wa singeli kuutumia uchafu wao kama ndio uanaume
Unakuta mwanaume kakomaa makalio yamepauka yanataka kuwa na upele upele kabisa kisa kutokupaka mafuta, harafu utasikia anasema "mwanaume hapaki mafuta makalio"
Imekuwa hivyo hivyo kwa hawa wanaotembea kwa...
Ningesikia idadi ya vifo ni zaidi ya 50 hapa ningekubari kuwa jamaa alikuwa anafyatua risasi ovyo, ila kwa kuwa mpaka sasa vifo ni vinne tu na majeruhi 6 basi jamaa alikiwa hafyatui risasi ovyo
Harafu jamaa aliacha kushambulia akawa ananyoosha mkono na kujipiga piga kifua mda huo ulikuwa sahihi...
Nakumbuka huyo Dk Shukuru Kawambwa mwaka 2012 matokeo ya NECTA ya CSEE akiwa Waziri wa Elimu, jinsi watahiniwa walivyomchukia
Mpaka wengine wakafikia kumuita Shukuru kawa mbwa (yaani kawa dog)
Ila yote heri kumbe alikuwa bado ni mbuge
Unataka niukumbuke mkoba niloachiwa na bibi, wacha umjaze upepo mimi nafanya kwa mapenzi mema tu, kuwaokoa wadada wenzangu
Sasa yeye kwa siku analeta wadada kumi tofauti tofauti, mbona mm siletagi tunakutana nje, kazi gan kutiana nyege mabwana wenyewe wamehamia Dodoma
Harafu na wewe mleta...
Hili napinga wazi wazi CCM ndo chama pekee chenye demokrasia ya kweli ndani ya chama, sema huku nje ndo vile.....
Ila naamini hata ikatokea chama kingine kimechukua dola mambo yatakuwa hivi hivi huku nje, ila mpaka hapa CCM wana demokrasia pana sana ndani, kuhusu kutumia rushwa ipo kila chama...
Mimi nataka kwanza hapo kwenye "mheshimiwa mufti" nae ni mheshimiwa kumbe????
Ndio maana nilikutana na waislam wanaitwa TWALIQA (sijui nimepatia kuiandika) ila inasomeka TWALIKA,
Wao hawataki kabisa kusikia kuhusu BAKWATA
Nadhani unajaribu kutoonesha ni jinsi gani upumbavu wako ulivyo, yaani huoni watu wanavyolalamika mtaani? Kutokuajiriwa kwa hao mnaowaita wanyonge wakati huo huo Jesca Magufuli mtoto wenu mmemuajiri awamu hii hii tena sekta nyeti!,
Kukicha mnasema maendeleo hayana chama wakati huo huo mnaonesha...
Na wewe kwa nini usingegawa, au ulidhani ubunge unapatikana bure bure, kisa ile laki ya fomu unayo ukajua umeula sio? Mbaya zaidi malalamiko unaleta huku JF badala ya kuyafikisha sehemu husika!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.