shoga huwezi jua na wewe umuombe mungu sana smtms wazazi wanaguvu sana mtashangaa mkioana mambo hayaendi jaribuni kuwashirikisha watumishi they will help you kwa mawazo na maamuzi
wewe unaonekana limbukeni wa mapenzi but utayajua mapenzi ni nini huko babae tuulize sisi wa kongwe huyo sio ndugu yako wa dmu so usijihakikishie sana anything can hapen at any time warembo kibao mjini hapa kwani we unaya gold
it hurts MUCH but one important thing is just to avoid concentrating for those past things,cause it makes the situation to be worse just having enough time to relax and think careful that your a treasure and if you dont care for yourself no one cares for you. love yourself more than anything...
yani nyumba ndogo wanakula kiulaini taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu ,mkeo ndo mliaidiana mtakuwa wote kwenye shida na rahaa nyumba ndogo ni vibuudisho wamekuja mjini kutafuta mtajijua na tamaa zenu .nyumba ndogo huna mkataba nayo wao kazi yao ni kula vichwa tu
hapo chacha me naona me naona enzi za mwalimu ilikuwa ni maadili nowdays afadhaili aliyesingle wengi wenye ndoa ndo wanamatukio ya kushangaza so ndoa sio maadili ka upande wangu ni matukio tu ya kawaida
my dear mungu anajibu na unapoona unaaanza kukata tamaa ndo majibu ya maombi yako yanakuja na usipokuwa makini na kukata tamaa shetani lazima atazidi kufanya maisha yako magumu zaidi .endelea kusali tena ikiwezekana tafuta mtumishi mmoja akusaidie kukuongoza cause kunamisingi ya kuomba ili...
kwakweli nimesikitika sana pole my dear lakini me naona kutokana na maelezo yako ni msichana msomi na mwenye kazi nzuri ,mume wako wa kwanza ni kazi mamaa wacha kabisa kusikitika mapenzi yapo siku zote hujuhi mungu anakuhepushia nini na wewe unazidi kun'gang'ania wanaume wengi wa siku hizi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.