Kuna wimbo tulikuwa tunauona zamani sana kwenye video sina uhakika kama ni wa hussein jumbe au vp...jamaa anaimba kuhusu kumpa talaka mwanamke ambaye anaonekana yypo bize sana kishangingi zaidi badala ya kujali ndoa.......
Ofisa wa cheo hicho tena nimeona mtu hapo juu kasema alifikia cheo cha luteni jenerali ni watu wa hadhi ya juu kabisa ya kipekee ya jeshi na nchi huyu kambi yoyote ya jeshi lazima afahamike usifanye mchezo na 3* general asee ungekuwa siriaz ungeshampata......
Kuna mambo mengi yapo chini ya kapeti kuhusu SGR, hata hao yapi merkez sio wema kiivo kama wanavyojiaminisha kwa watu......na nina uhakika kwa intel aliyokuwa anapewa hayati rais magufuli asingewapa tena hawa jamaa kazi.....yapi mwenyewe ni kama dalali tuu anauza kazi kila kukicha....yanayojiri...
Wanaomkosoa jamaa usikute hata dukani hawaendagi ni unafiki tuu....nipo bahi nimetoka nunua sasa ivi lita moja ya korie sh elfu sita.....alizeti sijauliza
Mimi nasubiri kuona bei ya nguzo ikirudi, na gharama za kuunganisha umeme kubadilika ndo ntaamini otherwise......lakin kwa sasa sijui hata kwa nini wamemtoa keleman na kupiga kazi kote kule......
Najaribu kuwaza tuu kwa sauti ya chinichini......ivi kwa nnavowafaham magaidi hao wenyewe hasa kina alshabab au boko haram.....kweli kabisa kashika mashine gani mbili zina risasi za kutosha wale raia wote pale mbele yake anawatizama tuu???.....mmmmhhh sijui bana
"Kahawa ni zao lenye faida kubwaaa....eeeh tulimeni kahawa....." Hapo saa moja moja usiku unasubiri ubweche upakuliwe hapo.......
"Pokeaa salaaam.....".........saa sita hapo umetoka shule njaa inauma homr hukuti mtu wapo shambaa....ungonga viazi na maji mambo yanaendelea
Dah those days bana......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.