Pole sana PakaJimmy kwa kupoteza mtoto,Mwenyezi Mungu awatie nguvu ww pamoja na familia yako,tuko pamoja katika hili,pumzika kwa aman bint yetu Praise.
Pole sana PakaJimmy kwa kupoteza mtoto,Mwenyezi Mungu awatie nguvu ww pamoja Nna familia yako,tuko pamoja katika hili,pumzika kwa aman bint yetu Praise.
Saaingine Hawa waajiri cjui wanatuonaje Yaan wanakurupuka tu hata hawajali maisha ya wafanyakazi wao,hapa ndiko wafanyakazi wanapotakiwa kushikamana na kuwa kitu kimoja kushinikiza mamlaka husika kuchukua hatua.
Polen sn wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.