Search results

  1. Cantalisia

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

    Pumzika kwa Aman rafiki yetu,Sisi wote wa Mungu na kwake tutarejea🙏
  2. Cantalisia

    TANZIA: Mwanachama mwenzetu, PakaJimmy amefiwa na mwanae ajali ya basi Arusha

    Pole sana PakaJimmy kwa kupoteza mtoto,Mwenyezi Mungu awatie nguvu ww pamoja na familia yako,tuko pamoja katika hili,pumzika kwa aman bint yetu Praise.
  3. Cantalisia

    TANZIA: Mwanachama mwenzetu, PakaJimmy amefiwa na mwanae ajali ya basi Arusha

    Pole sana PakaJimmy kwa kupoteza mtoto,Mwenyezi Mungu awatie nguvu ww pamoja Nna familia yako,tuko pamoja katika hili,pumzika kwa aman bint yetu Praise.
  4. Cantalisia

    Sitaki dawa

    Bonge la story sio siri mungu kakujalia kipaji cha uandishi mkuu
  5. Cantalisia

    Mwajiri wa Regional Air akimbia wafanyakazi

    Saaingine Hawa waajiri cjui wanatuonaje Yaan wanakurupuka tu hata hawajali maisha ya wafanyakazi wao,hapa ndiko wafanyakazi wanapotakiwa kushikamana na kuwa kitu kimoja kushinikiza mamlaka husika kuchukua hatua. Polen sn wakuu.
  6. Cantalisia

    Tanzia: Member mwenzetu Marejesho amefiwa na mdogo wake wa Kiume

    Pole sn marejesho mungu akutie nguvu,na amlaze ndugu yetu kwa aman
  7. Cantalisia

    HARUSI YA YNNAH 06:12:2013. Imevunja RECORD MKOA WA ARUSHA.

    Hongera sn swaiba nawatakia maisha mema na yenye furaha tele!!
  8. Cantalisia

    Nisaidieni jinsi ya kuanzisha thread

    Nipo nimejaa tele,za kuadimika aisee! Rejao wangu hajambo kbs mzima afya lol
  9. Cantalisia

    JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

    Nina uhakika hawezi badili mawazo bana. Cc Husninyo
  10. Cantalisia

    Nisaidieni jinsi ya kuanzisha thread

    Sio kweli Mphamvu labda km ulikuja kinyemela lkn ukitujulisha wing yetu tunapenda wageni bana wala hatuwakiimbii bana
  11. Cantalisia

    JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

    Katavi usiogope bana ni taarifa tu nimeiona coz sikujua km ushaona tatizo hujanialika kaka
  12. Cantalisia

    Asanteni Crew nzima ya wana Arusha-Wing....narejea Dar.

    Karibu tena Madam B km kawaida yetu tunapenda wageni
  13. Cantalisia

    Nisaidieni jinsi ya kuanzisha thread

    swaiba Mphamvu kweli uliadimika jamani karibu tena CC. BTW Nilishahama huo mji wenu just chake my location siku hizi napatika Arachuga arifu lol
  14. Cantalisia

    Mtambuzi kimya changu: Niko Vacation ukweni UPARENI MAMBA PARANE...!

    Aiiii,haya mambo ya kuongozana na ww alafuvsafari inakua km jela akuu,nilikukwepa kiana tu mdingi wangu Mtambuzi lol
  15. Cantalisia

    JF Arusha Wing nimewakubali...ntarudi tena!!

    Alafu wewe!! Cc BAGAH
  16. Cantalisia

    JF Arusha Wing nimewakubali...ntarudi tena!!

    SnowBall karibu sana chuga raha sanaaaaaaaa!
  17. Cantalisia

    JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

    Hhahahaha! ww lzm utakua na mzizi wa babu lol! Yaan mamba anakukimia hiyo itakua kivutio kipya cha utalii hahahah!
  18. Cantalisia

    JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

    Haya bana jion nitapangua kibegi changu sasa niweke na masai shuka incase hali ikiwa ivo natupia tu
Back
Top Bottom