Leo nitaongelea dhana hii katika approach ifuatayo, mara nyingi kwenye himaya ya shujaa vilio huwa ni vya mara kwa mara maana yeye mara nyingi anawindwa na maadui wa hapa na pale.
Tuje sasa kwenye kiini ya mada. Kijana umemaliza chuo umeenda kwa wazazi ukaona kwa kipindi hiki ambacho ajira...
Ilibidi nikatize zoezi nisije shitakiwa na kwa kosa la mauaji. Kabla ya hapo niliulizwa “nimejifunzia wapi?”
Tafadhali wakuu wazoefu, nini maana yake? Je, hatua niliyochukua ni sahihi?
Mkuu nataka nijue wadau wengine wanasemaje kama ni kweli hii kitu maana mwaka jana nilipata wasi Wasi mtu alikua wa Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.